Hiyo unatumia conditional formatting, unaweza ukatengeneza table yenye columns ndogo ndogo then ukazipa values (dates) na kuziwekea conditional formatting. Utakapojaza tarehe husika, raw inajifill color yenyewe kulingana na idadi ya siku. Ukihitaji kutengenezewa nicheck, leo leo kazi inaisha
Mashine nyingi wanakuwaga na mahindi hapo hapo, kwahiyo wateja wengine wananunua mahindi hapo hapo machineni na wengine wanakuwa na mahindi yao wenyewe. Hiyo ya kuuza mahindi machineni ni biashara ya kwanza, biashara ya pili ni huduma ya kusaga/kukoboa na biashara ya tatu ni kuuza pumba...
Mfano ukiandika if(A1>21, "F", if(A1>41,"D")), ukiandika 50 ktk A1, out itaandika F na sio D kwa sababu statements zote zitatoa jibu la TRUE (50 ni kubwa kuliko 21 na pia ni kubwa kuliko 41)
Vyovyote tu utakavyoweka, màana formula huwa inazunguka pote kutafuta sehemu ya kudondokea na kama kùna chaguo zaidi ya moja basi formula itadondokea katika chaguo la karibu zaidi na alama ya =. Kama itatokea formula imekosa pa kudondokea itaandika FALSE mfano ukiandika amount ambayo haijawa...
Nani mwingine ana changamoto kwenye Ms Excel? Kazi za ofisi zisikufanye uwe unalala usiku wa manane, kama ni mambo ya mahesabu tuwasiliane hapo tufanye namna ili uwe unalala saa mbili punde tu baada ya kuangalia taarifa ya habari[emoji846]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.