CHADEMA HAWAFAI KUONGOZA NCHI HII KWA SABABU KUU ZIFUATAZO: 1. NI CHAMA CHA UKANDA(KASKAZINI) MBEYA, KIGOMA NA MWANZA WAMEKICHAGUA KWA KUICHOKA CCM TU, KUTHIBITISHA HILI ISSUE YA MAFUTA MTWARA WALIKAA KIMYA INGEKUWA TANZANITE WANGE INGILIA KATI (2) CHADEMA NI MAFISADI ZAIDI YA CCM(I.e RUZUKU...
HIKI CHAMA NI CHA WANA KASKAZINI WAPARE, WACHAGGA, WAMBURU WAMERU. NDIO MAANA WANAWATOA WAHA, WANYATURU, WANYARAMBA n.k. LISU NA MSIGWA NI WANAFIKI NA WAOGA VIBARAKA WA SLAA NA MBOWE HIKI CHAMA NI CHA KIPUUZI HERI MAGAMBA KULIKO MAGWANDA YA MITUMBA YALIYOOZA. UKANDA WA NINI?
Watangazaji wengi Mfano Gerald Hando ni mamluki wanaotumiwa na wanasiasa kwa manufaa yao pia ni watu wanaojipendekeza kwa watu maarufu na wenye hela. BADILIKENI ACHENI ULIMBUKENI. Ndo maana tunamkumbuka fina mango muanzilishi wa powerbreakfast wa sasa ni mamluki tu na wanafiki.:shut-mouth:
Hamisi Kigwangala SIO JINA LAKE HALISI ALITUMIA CHETI CHA MTU AMBAE SASA HIVI NI MAREHEMU BAADA Y KUFELI FORM VI SISI TUNAMJUA VIZURI HUYU MTU. na ndio maana hata ethics ZA UDAKTARI HANA.:target:
Ukweli ni kwamba huyu mtu ni mbinafsi ndo maana amewajaza ma mbumbu kama waziri muongo/nishati na madini ILA KWA MTWARA TUTALIPUA MABOMBA YA GESI GHAFI WASIPOFUATA TUNAVYOTAKA
Kwani mkataba wa kujenga ulikuwa wa mkandarasi binafsi au kampuni? Ukweli ni kwamba fedha za za barabara hiyo zimepelekwa Bara bara ya Mkata- Bagamoyo na nyingine Mpanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.