hivi CHADEMA wana ushahidi usio na mashaka kwamba zito ni msaliti?. hongera mwenyekiti kwa kukataa ubakaji wa demokrasia.
Ukweli humuweka mtu huru hongera mwenyekiti kwa maamuzi yako
Hadi chadema itakaposimama tena nadhani Slaa atakuwa ameshatimiza miaka 90.
Kimenuka tena bwana! Kwi! kwi! kwi! Lakini ndugu Mwenyekiti ujue kuondoka kwako ndio ushindi kwa Mbowe na Slaa manake hawa si wanamabadiliko kama ulivyo ila wenzako ni wapiga dili tu. Their are after money.
Hilo ni tamko la CDM au lake binafsi? anaweza kuwa MM5 huyu mbulura!