Recent content by Njengwa boy

  1. N

    Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

    Hongera dada kwa uvumiliv but endelea pasaka mwisho c j3 ko usijal GOD bles u
  2. N

    Zaidi ya watu 20 wafa ajalini Rufiji

    R I P marehem wote pamoja na kaka yangu shafii Ally chinumba akiwemo katika mait hzo MIGHT Allah bless their souls
  3. N

    Uchaguzi 2015 majanga?

    Kwa kuwa vitambulisho vya kudumu bado havijakamilika nch nzima..na serikal haitaki kupitsha mfumo wa daftar la kudumu la wapiga kura inamaana watakaopiga kura ni walewale waliopiga 2010 ko ccm watazd kupeta kuchukua madaraka kama kawa? Vyama pinzani ni conscious yangu kwenu ndo hyo tu.
  4. N

    Hiki wanachokifanya nec ni sahih na haki kwa watanzania?

    Suala la Netiona Electral Commition(NEC) kutotaka kufanya renew ya daftar la kudumu la wapiga kura hamuoni kuwa ni mbinu ya CCM kutaka kushinda tena uchaguzi? Kwani wapiga kura watabaki kuwa wale wale wa 2010..na kizaz cha mabaliko kutopiga kura na kuleta mapinduzi ya kisiasa nchn kuhusu viongoz...
  5. N

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    CHADEMA Hawafai kupewa kiti cha urais kwa sababu wanaleta ubinafsi katika chama na ndo chanzo cha ugomvi wao hakuna mwenye chama bhana hakuna mbowe wala slaa chama ni cha wananch wote kwa hyo kuna uwezo wa kuwatoa na kuweka wengnd kwann mapadree hawa walete ugomvi? Mwisho wa siku itakuwa kama...
Back
Top Bottom