Recent content by njengere

  1. njengere

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyefanikiwa kumrejesha mpenzi wake wa zamani(ex)? Ulifanyaje?

    kurudia mapenzi wa zamani nisawa ira kuna mambo mawili 1 kama ana kupenda ww naww unampenda ludiana nae ila kama hakupendi achana nae pia tumia njia ya vishawishi yani jipendekeze kwake uwe mutumwa wa mapenzi kwani alishankusoma tabia zako naww ulisha musoma kwa hivyo hapo inabidi mmoja awe...
  2. njengere

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wema wangu umeniponza nimefirisika na kukimbiwa na mke

    hapo ni uongo hauwezi kumu saidia mutu hivyo kama h
  3. njengere

    JamiiForums Tanzania Kusikia njaa baada ya kula

    Hapo kwenye mawazo yapo ya kutosha nimejalibu kuuliza wengi wanazungumzia kua kutumia akili sana ndio sababu
  4. njengere

    JamiiForums Tanzania Kusikia njaa baada ya kula

    Pombe ndio sigusi kabisa
  5. njengere

    JamiiForums Tanzania Kusikia njaa baada ya kula

    Maana nina pata tabu kweri kweri
  6. njengere

    JamiiForums Tanzania Kusikia njaa baada ya kula

    Sawa kaka
  7. njengere

    JamiiForums Tanzania Kusikia njaa baada ya kula

    Maana yake ipi
  8. njengere

    JamiiForums Tanzania Kusikia njaa baada ya kula

    Nina tatizo la kuhisi njaa kwa muda baada ya kumaliza kula, nini ufumbuzi wa tatizo hili
  9. njengere

    JamiiForums Tanzania Amelewa Uspika, anadhani hii Tanzania ni ya pekee yake na familia yake

    Nazani amefikisha ujumbe tofauti kwani ukiwa sehemu yeyote ambayo niya juu nirazima usemwe
  10. njengere

    JamiiForums Tanzania Ipi njia nzuri ya kufanya 'stock' dukani kwa mfanyakazi?

    Nikweli nimejifunza pia
  11. njengere

    JamiiForums Tanzania Ipi njia nzuri ya kufanya 'stock' dukani kwa mfanyakazi?

    Nashukuru sana
  12. njengere

    JamiiForums Tanzania Ipi njia nzuri ya kufanya 'stock' dukani kwa mfanyakazi?

    Hii njia inaumiza kichwa sana
  13. njengere

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Freeman Mbowe (CHADEMA) kwa Taifa - Aprili 11, 2021

    serikali imekua na viongozi wakubwa wengi anataka kuongea serakali Tutaanza kuona mengi
  14. njengere

    JamiiForums Tanzania Ipi njia nzuri ya kufanya 'stock' dukani kwa mfanyakazi?

    Habiri wana jamii Je ni ipi njia nzuri ya kukufanya stoko dukani na njia rahisi maana kuna njia moja ninayo tumia ya kutumia daftari kilicho toka na kilicho ingia na kubaki imenishinda mimi kama mfanyakazi.
  15. njengere

    JamiiForums Tanzania Wanamchafua Mwendazake wakiamini kuwa kwa kufanya hivyo wao watabaki salama

    kitu cha musingi nilicho gundua kunaunafiki mukubwa selikalini naona hata kiongozi mkuuu flani amekua kmya haongeikabisa mpaka watu wanafikia kusema kwamba hakufanya kit chochote vijana wengi walikua kwenye wimbi la matumizi ya ponbe na madawa ya kurevya
Back
Top Bottom