arusha ni kiini cha mabadiliko, watamtoa lema lakini sio chadema, na uchaguzi ukiitishwa chadema tutaweka 'jiwe' wao waweke mtu na tutasinda! Nguvu ya uma ndo mahakama ya wanyonge!
Baraza wachakachue matokeo kwa ajili gani? unless siasa ziwe zimeingia huko nako. Ila leo (15/2/2012) nilipata imani kidogo na baraza baada ya kumwona ndalichako akifafanua huo mchakato huko zenji. asilimia kubwa sio kuwa mitihani ilivuja ila wameibiana na miandiko ya kutatanisha. TAFAKARI
HIvi ukiwa na serikali inyoogopa baadhi ya watu, solution ni kuwamaliza tu wanyonge. Jairo yuko wapi? Luhanjo wanasubiri hadi muda wake uishen ajiondokee mwenyewe! Leo wanatarget waalimu ambao mishahara yao ya miaka mitatu ni posho za mbunge za mwezi mmoja! watapata nini jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.