Habarini wanajamvi,
Napenda kwa anayejua anipe maelekezo kidogo kuhusu Kuitwa kwenye Interview na Utumishi, Kuna Tangazo walilitoa tarehe 9/12/2017 lenye Kumb.NaEA.7/96/01/J/69 kuitwa kwenye Usahili, hapo Niliiona jina langu na jana Tarehe 13/12/2017 kupitia tangazo lao lenye...
Nami nimepata kitu hapo cha kujiongeza endapo umeitwa kwenye Interview mbili tofauti,
Ninaombi jamani kwa anaejua Written interview ya Afisa Mtendaji Kata II na Afisa Tarafa, ni vitu gani vya kuzingatia hasa.? Msaada kwenye tuta
Habari wanajamvi,
Kuna jamaa yangu anaelimu ya Utawala ila anauzoefu wa zaidi ya mwaka mmoja kwenye Mauzo na Masoko, kwa sasa yuko tu nyumbani mkataba uliisha, hana uzoefu wowote kwenye Utawala.... naombeni ushauri awe anatuma maombi katika nyanja ipi???, naomba msaada juu ya hilo...
Asante saaana MZURIMIE kwa kunipa maelekezo, nadhani kwa kufuata hayo sintoshindwa kufika kwa muda muafaka....nitatokea KIMARA na kuelekea huko, lakini hadi hapo kwa hiyo anwani nahisi inatosha mkuu...ubarikiwe saana na Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.