Leo siku ya kusherehekea siku ya kumbukumbu ya kupata uhuru,Utumishi wa umma wametoa majina ya kuitwa Interview.
Lakini kuna baadhi ya kada walizoita kwenye siku,written,mahali,ukumbi vyote wameonyesha HAKUNA. Je ni kwamba hawa watu watahudhuria oral interview kwa wajuzi wa Haya mambo naomba msaada.
Lakini kuna baadhi ya kada walizoita kwenye siku,written,mahali,ukumbi vyote wameonyesha HAKUNA. Je ni kwamba hawa watu watahudhuria oral interview kwa wajuzi wa Haya mambo naomba msaada.