njanoj17
Member
- Apr 7, 2014
- 25
- 2
Habari wanajamvi,
Kuna jamaa yangu anaelimu ya Utawala ila anauzoefu wa zaidi ya mwaka mmoja kwenye Mauzo na Masoko, kwa sasa yuko tu nyumbani mkataba uliisha, hana uzoefu wowote kwenye Utawala.... naombeni ushauri awe anatuma maombi katika nyanja ipi???, naomba msaada juu ya hilo.
Nawasilisha....!!!
Kuna jamaa yangu anaelimu ya Utawala ila anauzoefu wa zaidi ya mwaka mmoja kwenye Mauzo na Masoko, kwa sasa yuko tu nyumbani mkataba uliisha, hana uzoefu wowote kwenye Utawala.... naombeni ushauri awe anatuma maombi katika nyanja ipi???, naomba msaada juu ya hilo.
Nawasilisha....!!!