Bila shaka humu jamvini kuna wabobevu wa historia na km hivyo ndivyo binafsi napata mkanganyiko sana hasa tunapozungumzia biashara ya watumwa yaani naona biashara hii inahusiana sana na afrika mashariki na kwa uchache magaribi, vpi kuhusu kusini na kaskazini?
Halafu hadi leo sijasikia masoko...
We historia ya dunia umesoma au? We dunia unadhani ni ipi kwani hujui kwamba rumi aliselenda kwa islamic state hadi vita ya mslaba ilpopiganwa karne ya 12, lakini km unaizungumzia hispania we hujui kwamba hiyo ni miongoni mwa dola za zamani?au we unatumia historia gani?au unasoma historia...
Watanganyika kuendelea kufanya hoja za waziri mdini(lukuvi ) kwamba ndio sababu ya mavamizi ni kuendelea kufanya propaganda km msingi wa hoja ya mavamizi ya mwaka 1964,kitu ambacho si haki kabisa katika zama hizi za ukweli
Kwani we hujui kwamba uislam imetawala dunia zaidi ya miaka mia tano? Lakini pia sehemu zote zenye mapigano huwa zinasababishwa na amerika na we kushabikia ni kosa koz waamerika sio wakrosto na hawafanyi hayo kwa maslahi ya wakristo bali maslahi yao na ndio maana wanaurafiki na...
Kwa hawa wajinga tulionao hata ingekuwepo clip bado isingesaidia km kashfa ya lichmond haitoshi basi hata hyo ingekuwa nothing ishu hapa ni ukawa kujipanga kupambana nao lakini na ukawa nao wana muunga mkono maana sijasikia ndani ya miaka mitano hii slaa au ukawa wakimhusisha lowassa na ufisadi...
Ukitizama masuala hya kwa jicho la tatu na hasa aina ya rasilimali watu ambayo zanzibar inayo utagundua kwamba wangetuacha mbali saana!!
mf:wakati mwanasheria mkuu wa znz anafukuzwa kazi kwa msimamo wake wakizalendo,mwanasheria bara anafukuzwa kwa wizi,
Wakati nasoro moyo anafukizwa chamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.