Kuwekwa hadharani kivipi.
Mtu yeyote anayetumia pesa nyingi kusaka madaraka hafai ni wa kuogopwa kama ukoma Mwl.Nyerere.hata Lowasa anajua ccm wakifuata miiko ya mwl Nyrere uraisi ataishia kuusikilizia kwenye radio
Mkuu wewe no Gamba ?
ptuuuu....mtoa mada ametolea mfano wa picha ya makongoro! Jiulize then jijibu mwenyewe faragha ya makongoro huwa inarekodiwa? iweje vikao vya CC na NEC?Hiyo kauli ilitolewa ndani ya CC na NEC hivyo vikao havirekodiwi
Hiyo kauli ilitolewa ndani ya CC na NEC hivyo vikao havirekodiwi
Binafsi simkubali Lowassa ila nachotaka tukate mzizi wa fitina.
Majuzi hata Nape aligusia kauli hii ya.Baba wa Taifa alipokuwa anahojiwa EATV ingawa hakumtaja Lowassa moja kwa moja.Ifike mahali tumuenzi Nyerere kwa vitendo na si kinafiki kama hivi tunavyofanya kama kweli ushahidi upo na kama ilikuwa ni siri ya kikao, basi habari hii ingeishia huko huko kwenye vikao vyao.
Jibu muafaka kabisa!
Na hii mkiweza muiunganishe kama mnaona ni sahihi.
Hapa naongelea "video" na si kunukuliwa katika maandishi.Hivi ni vitu viwili tofauti na vina uzito tofauti?
Tunaomba mwenye hiyo clip aiweke hadharani.
Kwenye Richmond tunaambiwa kuna mambo yalifichwa.Hii clip nayo inafichwa!Kama hali ndio hii,kwanini mtu huyu sasa asipete?Hivi sisi tukoje?!
Kama picha ya Makongoro iliwekwa hapa jana, kwanini hiyo clip isipewa nafasi kama ipo?
Tatizo letu ni kutaka mabadiko bila kuwa na mikatati madhubuti.Sa we kwa uchafu wa lowassa unahiyaji clip hacha hui anaojua mwalimu we hujui chochote kuhusu lowassa na ufisadi? Acha ubwege mtoa post
Tatizo letu ni kutaka mabadiko bila kuwa na mikatati madhubuti.
Siku hiyo clip ikitoka ndio utajua thamani yake katika kufanikisha mageuzi.
Hivi hamuoni hao wajinga wanaojitokeza kwa wingi kumuunga mkono kwasababu tu wengine wanaamini kashifa za Lowassa ni fitina tu kisiasa?
Ningekuwa kiongozi wa UKAWA kupata hiyo clip ya mwalimu ingekuwa ni moja ya mikakati ya kufaninikisha mageuzi.
Mnapuuza hoja kama hii wakati nchi hii mambumbu wa habari za siasa na wanasiasa ni wengi!!
Sa we kwa uchafu wa lowassa unahiyaji clip hacha hui anaojua mwalimu we hujui chochote kuhusu lowassa na ufisadi? Acha ubwege mtoa post
Tatizo letu ni kutaka mabadiko bila kuwa na mikatati madhubuti.
Siku hiyo clip ikitoka ndio utajua thamani yake katika kufanikisha mageuzi.
Hivi hamuoni hao wajinga wanaojitokeza kwa wingi kumuunga mkono kwasababu tu wengine wanaamini kashifa za Lowassa ni fitina tu kisiasa?
Ningekuwa kiongozi wa UKAWA kupata hiyo clip ya mwalimu ingekuwa ni moja ya mikakati ya kufaninikisha mageuzi.
Mnapuuza hoja kama hii wakati nchi hii mambumbu wa habari za siasa na wanasiasa ni wengi!!
Tatizo letu ni kutaka mabadiko bila kuwa na mikatati madhubuti.
Siku hiyo clip ikitoka ndio utajua thamani yake katika kufanikisha mageuzi.
Hivi hamuoni hao wajinga wanaojitokeza kwa wingi kumuunga mkono kwasababu tu wengine wanaamini kashifa za Lowassa ni fitina tu kisiasa?
Ningekuwa kiongozi wa UKAWA kupata hiyo clip ya mwalimu ingekuwa ni moja ya mikakati ya kufaninikisha mageuzi.
Mnapuuza hoja kama hii wakati nchi hii mambumbu wa habari za siasa na wanasiasa ni wengi!!
Salary Slip ebu sahihisha maneno yako tunategemea una ufahamu mkubwa jana na kwa maelezo ya mjadala wa jana hakuna picha inayoitwa ya Makongoro yoyote...zaidi ya picha za kawaida tunazoweka humu..sasa kuendelea kuwa na ukuzaji wa mambo ambayo hayapo kwa mtu uliye andika thread jana kuomba Wanajami forums watoe mchango bora katika kutoa Raisi Boara kisha unakuwa mbele kuchangia kwa maneno mbofu mbofu sipati picha na sikuelewi eti..ebu futa neno hilo tafuta mifano mingine kwa kuwa hakuna kitu kama hicho na maana ya GT ni uwezo wa kubaini maovu na kuyakemea.Tendo a thread ya jana juu ya Makongoro na picha ni tendo la kiovu.Na hii mkiweza muiunganishe kama mnaona ni sahihi.
Hapa naongelea "video" na si kunukuliwa katika maandishi.Hivi ni vitu viwili tofauti na vina uzito tofauti?
Tunaomba mwenye hiyo clip aiweke hadharani.
Kwenye Richmond tunaambiwa kuna mambo yalifichwa.Hii clip nayo inafichwa!Kama hali ndio hii,kwanini mtu huyu sasa asipete?Hivi sisi tukoje?!
Kama picha ya Makongoro iliwekwa hapa jana, kwanini hiyo clip isipewa nafasi kama ipo?
Salary Slip ebu sahihisha maneno yako tunategemea una ufahamu mkubwa jana na kwa maelezo ya mjadala wa jana hakuna picha inayoitwa ya Makongoro yoyote...zaidi ya picha za kawaida tunazoweka humu..sasa kuendelea kuwa na ukuzaji wa mambo ambayo hayapo kwa mtu uliye andika thread jana kuomba Wanajami forums watoe mchango bora katika kutoa Raisi Boara kisha unakuwa mbele kuchangia kwa maneno mbofu mbofu sipati picha na sikuelewi eti..ebu futa neno hilo tafuta mifano mingine kwa kuwa hakuna kitu kama hicho na maana ya GT ni uwezo wa kubaini maovu na kuyakemea.Tendo a thread ya jana juu ya Makongoro na picha ni tendo la kiovu.
Kwakuwa haipo ndiomaana haijatolewa.Na hii mkiweza muiunganishe kama mnaona ni sahihi.
Hapa naongelea "video" na si kunukuliwa katika maandishi.Hivi ni vitu viwili tofauti na vina uzito tofauti?
Tunaomba mwenye hiyo clip aiweke hadharani.
Kwenye Richmond tunaambiwa kuna mambo yalifichwa.Hii clip nayo inafichwa!Kama hali ndio hii,kwanini mtu huyu sasa asipete?Hivi sisi tukoje?!
Kama picha ya Makongoro iliwekwa hapa jana, kwanini hiyo clip isipewa nafasi kama ipo?