Recent content by nixc

  1. nixc

    Tafadhali nyie Walumbi na Washititi wa Lugha ya Kiswahili haya Maneno Mawili ya Kimsamiati mapya ya Lugha ya Kiswahili yana maana gani?

    Join private ladies for live chat and adult dating https://secrelocal.com verified women seeking adult fun
  2. nixc

    Nimetapeliwa kwenye biashara yangu ya huduma za kifedha (Uwakala)

    Hii ni mbinu yao ya zamani sana, alipokuwa anazubaishwa na mwingine anataka huduma hapo hapo kwahiyo kuna mmoja lazima atakuwa alimuomba simu ampe ama kuna mmoja aliwahi kuja siku nyingine na kufanya hiyo mishe
  3. nixc

    Hakuna mwanamke asiyechepuka

    Sasa hicho unachokifanya nao hufanya hivyo hivyo wanawake nao ni watu kama wewe, ishi nao kwa akili
  4. nixc

    Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

    Nilisikia Lindi hii na huyo dada Tomboy anakiri kuwa wanawake wengi wanajihusisha na na hii tabia na wengi wao ni wake za watu
  5. nixc

    Kenya Huwa wanatuzidi vipi kwenye uchumi Tanzania?

    Sehemu yeyote yenye dhiki ndiyo Kuna biashara maana mahitaji ni makubwa sana ya vitu ndiyo maana wanaposema wana maisha magumu ni kwamba dhiki husababisha vitu viwe ghali kwahiyo wenye pesa hupeleka vitu sehemu kama hizo kupata pesa.
  6. nixc

    Ndugu wawili Yanga na Simba wote wamepigwa Algeria, nchi imetulia tuli

    Mtaalamu wa kuona magoli ya bahati kutoka Tanzania
  7. nixc

    Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

    Nafurahi kuwa kwa miaka mingi Yanga imekuwa ikitamani kuwa kama Simba na mnajitahidi sana hasa katika kupata wachezaji walioitumikia Simba. Ila kiukweli kwa sera yenu ya usajili sasa hivi mchezaji ambaye mtampata kutoka Simba ni yule aliyeandoka akaenda timu nyingine ndiyo mtamchukua ama ambaye...
  8. nixc

    Mambo gani ya ajabu umekutana nayo ukiwa kwenye faragha?

    Huyu aliwatukana watu wote niliwahi kuwa nao tena matusi ya haja
  9. nixc

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Mabasi mengi siyo machakavu sana, mnaweza kuingia mkataba na Dar Coach Builders wakafanya refurbishment kwenye body ambazo haziko vizuri naimani mengi yatarudi kama mapya maana Dar Coach Iko vizuri sana kwenye hilo ama New Force Enterprises wako vizuri kwenye body repairs.
  10. nixc

    GE2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

    Ila kile alichopigania kimezingatiwa, " .......and where all girls, no matter the circumstances, have a pathway to complete their secondary education.”
Back
Top Bottom