kuna wale ambao wanatumia sabubi za magadi kisha wanaogea maji chumvi hili pia ni tatizo ambalo linaweza kusababisha miwasho ktk ngozi pindi inapogusa maji ,,, kuna madini katika sababu za magadi ambayo yakichanganyika na maji chumvi basi huleta shida ,, pia sabuni zenye harufu ya kunukia huwa...
hapana hilo sio jambo la kuzoeleka ... kuwashwa baada ya kuoga kunaweza sababishwa na mambo ma3
1.Fangasi
2.Kutumia taulo chafu lililovunda kwa maji (ambalo halikuanikwa juani baada ya kutumika ambalo huzaa bacteria wanaoathiri ngozi na kupelekea miwasho)
3.Kuchezea manyasi (vijijini)
kwa...
kuna kitu hakipo sawa ,, ila ushauri wangu kwako mkuu
JIELIMISHE KUHUSU SIASA,, SOMA SANA UCHUMI,, IJUE SHERIA YA KIMATAIFA ukishapata elimu kisha njoo uipitie hii post tena uisome,, utagundua ni wapi ulikwama.
kwasababu kwasasa hivi nikiangalia tu post naona kabisa kuna mambo hata ukiambiwa...
1.badilisha taulo au kifuta maji kama ni cha muda mrefu nunua kipya pengine yaweza kuwa ni bacteria wa ngozi
2.usitumie maji chumvi kuogea
3.usitumie sabuni za magadi kuogea
4.kunywa maji kwa wingi kuweka ngozi yako sawa
5.tumia mafuta universal kama vile vaseline nk baada tu ya kuoga
NB:kama...
suala hili ni pana zaidi katika kujadili matokeo ya kuoa mwanamke mwenye ajira na asie na ajira ktk upande wa faida na hasara
faida zake (kwa mwenye ajira)
1.endapo ukakwama na mkawa mnaelewana ndani ya nyumba anaweza kusaidia kwa kipindi umekwama kuziba nafasi japo kwa uchache
2.ukifa ana...
Hivi wakuu mmeshakaa mkafikiria kuhusu future ya watoto pale ambapo labda ghafla mwanaume akakakata kamba(kifo) cha ghafla?
Kimsingi naona kuoa mwanamke mwenye kazi sio mbaya kwa upande wa pili kwa sababu watoto pia wanakuwa katika upande salama kielimu na malezi baada ya baba kufariki.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.