Recent content by nito09

  1. N

    Miwasho baada ya kuoga inatibika vipi?

    kuna wale ambao wanatumia sabubi za magadi kisha wanaogea maji chumvi hili pia ni tatizo ambalo linaweza kusababisha miwasho ktk ngozi pindi inapogusa maji ,,, kuna madini katika sababu za magadi ambayo yakichanganyika na maji chumvi basi huleta shida ,, pia sabuni zenye harufu ya kunukia huwa...
  2. N

    Miwasho baada ya kuoga inatibika vipi?

    hapana hilo sio jambo la kuzoeleka ... kuwashwa baada ya kuoga kunaweza sababishwa na mambo ma3 1.Fangasi 2.Kutumia taulo chafu lililovunda kwa maji (ambalo halikuanikwa juani baada ya kutumika ambalo huzaa bacteria wanaoathiri ngozi na kupelekea miwasho) 3.Kuchezea manyasi (vijijini) kwa...
  3. N

    Urusi yaendeleza mashambulizi ya anga huko Ukraine

    You are very brave,, nice comment kama na hapa kuna mtu hajaelewa kinachosemwa wakati kila kitu kimewekwa bayana
  4. N

    Marekani imkamate Putin haraka na imuhukumu kwani anaharibu amani ya dunia

    kuna kitu hakipo sawa ,, ila ushauri wangu kwako mkuu JIELIMISHE KUHUSU SIASA,, SOMA SANA UCHUMI,, IJUE SHERIA YA KIMATAIFA ukishapata elimu kisha njoo uipitie hii post tena uisome,, utagundua ni wapi ulikwama. kwasababu kwasasa hivi nikiangalia tu post naona kabisa kuna mambo hata ukiambiwa...
  5. N

    Miwasho baada ya kuoga inatibika vipi?

    1.badilisha taulo au kifuta maji kama ni cha muda mrefu nunua kipya pengine yaweza kuwa ni bacteria wa ngozi 2.usitumie maji chumvi kuogea 3.usitumie sabuni za magadi kuogea 4.kunywa maji kwa wingi kuweka ngozi yako sawa 5.tumia mafuta universal kama vile vaseline nk baada tu ya kuoga NB:kama...
  6. N

    Ushauri kwa wanaotaka kuoa, tafuta mke unayemmudu

    ndoa ndoano gusa unase uje kutuomba ushauri jukwaani
  7. N

    Ushauri kwa wanaotaka kuoa, tafuta mke unayemmudu

    hapo kwenye kujiimarisha umesema ukweli kabisa mkuu
  8. N

    Ushauri kwa wanaotaka kuoa, tafuta mke unayemmudu

    suala hili ni pana zaidi katika kujadili matokeo ya kuoa mwanamke mwenye ajira na asie na ajira ktk upande wa faida na hasara faida zake (kwa mwenye ajira) 1.endapo ukakwama na mkawa mnaelewana ndani ya nyumba anaweza kusaidia kwa kipindi umekwama kuziba nafasi japo kwa uchache 2.ukifa ana...
  9. N

    Ushauri kwa wanaotaka kuoa, tafuta mke unayemmudu

    Hivi wakuu mmeshakaa mkafikiria kuhusu future ya watoto pale ambapo labda ghafla mwanaume akakakata kamba(kifo) cha ghafla? Kimsingi naona kuoa mwanamke mwenye kazi sio mbaya kwa upande wa pili kwa sababu watoto pia wanakuwa katika upande salama kielimu na malezi baada ya baba kufariki. Lakini...
Back
Top Bottom