Wewe ndo mpumbavu wa mwisho,kwani matusi yanaua?! Ni watu wangapi wanashindwa kufanya mambo yao kwa sababu ya mtandao mbovu ambao hata uchaguzi hauwahusu?! Ni watu wangapi wanashindwa kuingiza kipato kisa tu kuzuia kupata habari za uchaguzi?! Sijui huwa mnawaza kwa kutumia akili gani wakati hapo...
Acha ushamba ww!! Watu walikuwa wanaenda kuwasikilza wasanii Kisha wanaondoka ndio mzee kijana akaja na mbinu mpya za mikutano kufanyikia kwenye viwanja vilivyojengewa,na Wasanii wakubwa kupanda jukwaani muda mfupi kabla ya mzee baba kupanda au hata baada ya mzee baba kpanda!!! Usijitoe akili...
Unamsomba vizuri sana,niko Zangu Sengerema Nina siku sijaenda Mwanza uniambie Kuna ruti ya Mwanza bure,tena nafika nawaona karibia wasanii wote maarufu wa nchi hii niikatae ofa hii bab kubwa!? Wakat katika hali ya kawaida bila 20elf humuoni Diamond!!? Dhubutu!!!
Mbona thread yako haina uhalisia na muonekano wa Kampeni?! Hayo yote uliyosema mwisho kampeni zimesimamiwa na Diamond Harmonize Zuchu na Wasanii wengi.Pamoja na yote uliyosema mwaka huu ndo CCM imevunja rekodi ya kusomba watu kutoka mikoa jirani hadi kanda kwa ajili ya mkutano mmoja(zamani...
Mbowe jitathmini na busara zako zilizopitiliza,CCM haihitaji busara kwa sasa,inahitaji ubabe,jino kwa jino nyayo kwa nyayo ili tuheshmiane maadam hatuvunji sheria.Shortly Lisu alikuwa sahihi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.