Nitajulikana
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 328
- 355
Mi nilifikiri ungewaambia vijana wa Arusha wafanye kila linalowezekana kupambana na upumbavu huu,kumbe bado uko kwenye propaganda!? Pole sana!!!
Ukitaka kumjua mwama ccm,huna haja ya kuumiza akili.we angalia wanao like uzi wake.Umenishtukia wewe na nani? Hallafu nyie humu mabingwa wa kucomment, mara ooh tutakiwasha, mara ooh sasa basi na maneno mengi ya ujinga, halafu yakitokea hayo mnaacha wenzenu wanasota jela nyie kazi yenu inabaki kupost tu humu.
Nina hasira sana kuna dada tunafahamiana nae kakamatwa kwa huu ujinga wenu wa kujifanya mnaweza kweli kuwapigania
Ni heri ukutane na mnyama mkali kuliko mnafique katika unafique wakeUmeanza kuipenda CHADEMA lini??? Unajulikana humu kuwa ni CCM wewe kilaza!
Jiue ndugu MATAGA poriUmenishtukia wewe na nani? Hallafu nyie humu mabingwa wa kucomment, mara ooh tutakiwasha, mara ooh sasa basi na maneno mengi ya ujinga, halafu yakitokea hayo mnaacha wenzenu wanasota jela nyie kazi yenu inabaki kupost tu humu.
Nina hasira sana kuna dada tunafahamiana nae kakamatwa kwa huu ujinga wenu wa kujifanya mnaweza kweli kuwapigania
Nyerere na Mandela walipofungwa huku familia zao pekee zikihangaika wangefuata huu ushauri ingekuwaje?Hiki ndio nakimaanisha, sisi kazi yetu ibaki kupiga tu kura. Kila mgombea apambane na polisi kivyake.
Roho inaniuma sana, kuna dada kakamatwa alafu wanaohangaika ni ndugu zake, lema yeye kazi yake ni kupost tu huko twitter na Instagram.
Chadema kila mtu ana Sharubu...Umenishtukia wewe na nani? Hallafu nyie humu mabingwa wa kucomment, mara ooh tutakiwasha, mara ooh sasa basi na maneno mengi ya ujinga, halafu yakitokea hayo mnaacha wenzenu wanasota jela nyie kazi yenu inabaki kupost tu humu.
Nina hasira sana kuna dada tunafahamiana nae kakamatwa kwa huu ujinga wenu wa kujifanya mnaweza kweli kuwapigania
Chadema hawashauriki hata siku moja!!!!Hii kunishtukia inasaidia nini kuwatoa wale waliokamatwa? Lema amebakisha kazi ya kutweet tu, wanaohangaika ni ndugu zetu
Huyo hamjui hata mtu mmoja anayefanya kazi hio anapambana mitandaoni tuHuu ndio ujinga, kwani hao nao watabaki?
Alafu unasema tusitishike na mapito huku ukiwa umejificha kwenye ID fake, unaogopa nini kama sio hayo mapito??
Rudia kusoma mwanzo mwishoKaongelea vijana wa vyama vyote wawe makini
Vyama vyote vipi mnafikia huyo mwanaCCM tunamjua!Kaongelea vijana wa vyama vyote wawe makini