Yohana Mbatizaji heshima yako mkuu. Leo Roho Mtakatifu amekukufunulia maneno ya hekima na ya kufikirisha sana. Mungu was Mbinguni azidi kuingarisha nyota za Mwamba kwa namna ambayo wengi wetu hatujui dhamira yake ya kumpitisha katika tanuru hili.
Tafuta wenzio wa kuwalisha huu upupu wako, elewa kuwa kadiri siku zinavyosonga ndivyo wenye akili za kujiuliza maswali na fikra chanya wanaongezeka. Unahaha sn mkuu. Mungu tunayemuamini ni Mungu was haki.
Kuwa na mawazo kama hayo ni vyema na siyo dhambi mkuu, lakini umejaribu kujiuliza kwanza Tanzania yako unayoishi mawazo haya yanawezekana? Siyo rahisi kwa mfumo wetu na katiba yetu iliyopo. Fight for your own kwanza, achana na ndoto za ukuu wa Wilaya.
Naelewa mkuu. Nashindwa kuelewa kwa nini msomi huyo ana move around the circle na kufanya ulimi usiwe rafiki kutamka the current pandemic desease inayotumaliza aka corona. Anataka wananchi waanze tena kuulizia maswali? Kuna tatizo si bure.
Prof ktk ubora wake, ila mjanja sana. Nimesoma maelezo sijaona mahali alipofunguka na kutaja ugonjwa wa Corona ( covid 19),au ndiyo kauwasilisha kama Homa ya mapafu? Hahahaaa!
Ndiyo uukubali ule msemo wa JK kuwa 'Za kuambiwa changanya na zako'.
Tatizo watz ni wabishi kwa jambo wasilolifahamu vizuri, tuna tabia ya kukuripuka halafu tukingatwa tu naanza kulalamika.
Mitano tena tafadhali ili somo lieleweke vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.