Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Walianza kongamano wakakamatwa, wakaenda kanisani wakakamatwa, wamefanya mahafali wamekamatwa, wakenda ubalozini wakakamatwa, walipoandamana wakakamatwa sasa wanaandika kwenye mbao kila mtu asome wanachotaka kuieleza Dunia.
Tusipuuze sauti yao, tusizibe masikio nakujifanya tumewadhibiti bali tuamini asilimia kubwa ya wananchi wamesononeka na awatasiadia kudhibiti hii hali bali chuki dhidi ya serikali itaongezeka.
Swali, kwanini tumechagua njia hii ya utawala?
Tusipuuze sauti yao, tusizibe masikio nakujifanya tumewadhibiti bali tuamini asilimia kubwa ya wananchi wamesononeka na awatasiadia kudhibiti hii hali bali chuki dhidi ya serikali itaongezeka.
Swali, kwanini tumechagua njia hii ya utawala?