Wewe ni JuhaMarekani na nchi za ulaya zote wanachukua tahadhari na bado watu wao wanakufa balaa..sasa ije iwe sisi..tuambie kwanini wanakufa sana licha ya tahadhari hizo
Ahaa meya wetu hapa moshi kasema tusivaeMakamanda uchwara wanasubiri mpaka wachapwe mijeledi kabla ya kuchukua tahadhari.
Magonjwa ya kuambukiza unaelewa maana yake!Prof ktk ubora wake, ila mjanja sana. Nimesoma maelezo sijaona mahali alipofunguka na kutaja ugonjwa wa Corona ( covid 19),au ndiyo kauwasilisha kama Homa ya mapafu? Hahahaaa!
Ili zisaidie nini? Ziwatishe walio wazima? Chukua tahadhari, hicho ndiyo cha maana kwako. Unataka takwimu za nini, ili utishike?Watoe na takwimu za wagonjwa. Sio kusema kwa mafumbo.
THE BEST ANSWER! Wao wanachukua kila aina ya tahadhari pamoja na huduma bora za afya daraja la kwanza lakini wanakufa. Je, sisi ambao huduma zenyewe ni sifuri si ndio tulipaswa kuchukua tahadhari mara elfu kuliko wao? Badala yake tunajiendea kama kuku tu! Asante Chief!Jaribu kuufikirisha ubongo wako kwenye side nyingine, fikiria wao wanachukua tahadhari lakini wanakufa vile wewe ambaye uchukui tahadhari utakuaje
... wanasemaga kenge hasikii hadi damu zimtoke Mkuu. Matone mekundu yameanza kuonekana somo limeanza kueleweka japo kwa kuchelewa sana. Maana maprofesa waliofyekwa juzi kati sio mchezo ukiacha sisi makapuku tusio na media coverage.Kwahiyo sasa wanakubali kuwa mbele kuna nyoka sio na tahadhari ni Muhimu?
Sasa naomba niwaulize wale wote waliokuwa vimbelembele humu ndani kupinga kuwa Tanzania kuna corona na hali ni Mbaya, bado msimamo wao ni huo tu?
Inaaminika kabisa kuwa Mungu husikia maombi ya watu; lakini hapendi watu hao hao aliowaumba kwa mikono yake wajimwambify badala ya kumtukuza yeye.Hivyo Anaweza kuwa kawithdraw maombi yetu.Lakini amejaa rehema kama tutapaangalia tulipojikwa.Kumbuka hata nchi zingine ziliamini kuwa Mungu amesikia maombi ya TanzaniaWewe acha ujinga wewe Kama huwasikilizi wataalam wa afya na madaktari shauri yako...watanzania wote tunazingatia miongozo yao..usiendelee kwa punguwani jomba kwa kukosa maarifa
Sasa Waziri mwenyewe wa Afya ambaye pia ni Daktari pia anapigia debe kujifukiza tu as if hiyo ndiyo tiba halisi!! Amesahau science inasema nini kuhusu huu ugonjwa!THE BEST ANSWER! Wao wanachukua kila aina ya tahadhari pamoja na huduma bora za afya daraja la kwanza lakini wanakufa. Je, sisi ambao huduma zenyewe ni sifuri si ndio tulipaswa kuchukua tahadhari mara elfu kuliko wao? Badala yake tunajiendea kama kuku tu! Asante Chief!
Naelewa mkuu. Nashindwa kuelewa kwa nini msomi huyo ana move around the circle na kufanya ulimi usiwe rafiki kutamka the current pandemic desease inayotumaliza aka corona. Anataka wananchi waanze tena kuulizia maswali? Kuna tatizo si bure.Magonjwa ya kuambukiza unaelewa maana yake!