Matukio ya siku za hivi karibuni yamenitafakarisha maana na dhamira ya kuwa mwanahabari
Kuanzia saga ya Wasafi Media vs Lissu, controversy ya TCRA vs Waziri Nnauye, na dhihaka kadhaa za EFM
Uanahabari sio guarantee ya kukosa heshima au ku-act unprofessional in the pretext of professionalism...
Ujumbe huu huwahusu zaidi wanawake ili kiwajengea stara kwa wenza wao na kiwapa moyo ili kutowatoa mchezoni, hasa kimawazo, wakati wa tendo.
Ewe mwanamke, epuka kauli hizi. Badala yake, tafuta lugha nzuri, laini ya kuwasilisha ujumbe huohuo.
1. Haufanyi vizuri kama…
2. Mimi sipendi hivyo...
Huyu jamaa huwa ana-like sana personal contents, nyingi za entertainment kwa official account ya PSSSF. Nimkumbushe, hii ni taasisi ya serikali, aitengenezee mazingira ya kuheshimika.
Inawezekana anatumia simu (device) binafsi ku-run shughuli zake kama content admin, sawa, lakini ajichunge...
Tangu akiwa Msemaji wa Serikali, amekuwa cheap sana huyu jamaa.
Hivi sasa wizara aliyoko haina afisa habari au waziri? Naona ana-dominate yeye tu mitandaoni
Kwa nafasi yake ya Katibu Mkuu alipaswa awe mtendaji/mtaalamu/mwanataaluma zaidi wa wizara yake sio kutafuta cheap popularity kila...
Like serious, mtu asiyefahamu kabisa kuogelea akatafute ujuzi huo katika open waters/beaches badala ya organised spaces like swimming pools? Kama si shida za kujitakia ni nini?
Ndugu Carlos The Jackal acha kujitukuza na kujiona bora kimajukumu kuliko wengine, maisha ni kutegemeana.
Imagine, askari mpiganaji aliyekoswa risasi akihakikish usalama wa raia wengine waliolala aje hapa na tambo za kudai fedha zaidi akijilinganisha na idadi ya risasi zilizomkosa au majeraha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.