Recent content by nipo online

  1. nipo online

    wizi wa baiskel yangu nimeambiwa nikitoa taarifa polisi nitatimua nyuki

    kumekua na maoni mseto juu ya wizi wa baiskel yangu, iliibiwa juzi usiku, jirani wanasema nitoe taarifa polisi ni kachukue RB, lakini wengine wanasema iwapo nitamsweka ndani wenzie wataniundia tume, kwani nitakua nimechafua hali ya hewa. Badala yake nimuombe jamaa arudishe kiroho Safi, ila...
  2. nipo online

    Nimeibiwa baiskeli, kukata RB polisi bei gani?

    nipambane nisitoe taarifa polisi?
  3. nipo online

    Nimeibiwa baiskeli, kukata RB polisi bei gani?

    anipige makofi kwa kosa gani?
  4. nipo online

    Nimeibiwa baiskeli, kukata RB polisi bei gani?

    nikisha kata RB nini kinafuataa? nani anapaswa amkamate mwizi?
  5. nipo online

    Nimeibiwa baiskeli, kukata RB polisi bei gani?

    Kuna jamaa anadai ameiokota sa 7 usiku wakati nimeibiwa nyumbani kwangu, anadai nimpe 25000 ili anirudishie leo siku ya 2.
  6. nipo online

    Biashara ya bucha au saloon?

    Sawa nimerekebisha
  7. nipo online

    Biashara ya bucha au saloon?

    ndio ila nina kijana pia
  8. nipo online

    Biashara ya bucha au saloon?

    sorry nimerekebisha
  9. nipo online

    Biashara ya bucha au saloon?

    sorry nimerekebisha
  10. nipo online

    Biashara ya bucha au saloon?

    Wakuu nina 1,000,000 kati ya kuongeza salon ya pili na kufungua bucha la nyama ipi inaweza nilipa? asanteni
Back
Top Bottom