nimeona Leo kwenye taarifa ya habari mkoa fulani wana nchii wana ishukuru serikali na viongozi wao bibi tt kwa kuwaletea gari la wagonjwa baada ya muda mrefu kupita, nikacheka baada ya pimbi mmoja kujimaliza kwa kusema eti ,,,,tuliomba gari ndogo lakini kwa mapenzi ya raisi mtukufu katuletea...
Ndo wafanya biashara wa kwanza kudharau wateja wao kazi nikufuga vitambi mashavu bila kusahau matiti makubwa, kifupi serikali ya bongo siielewagi bora utawala wa kifalme
Hili swali nilikua nakosa waku muuliza
kwa muda mrefu nimekua nikiona maraisi wote wa bongo majina yao yana tangulizwa na Dr,,,,! sasa nikawa najiuliza inamaana wote wame usomea huo udaktari?
ahahahaa wazambia wanagawa sio poa sema niwachafu kukuta kimba kwenye mtaro ukimuweka popo kanyea mbingu nikitu cha kawaida japokua sio wote, na ninacho wapendea wanaenda kila style unayotaka hasa kwa sisi wabongo maana wamezowea magovi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.