41. Ushabiki / unazi kupitiliza e.g simba uyanga, ccm chadema n.k
42. Epuka wizi/shortcuts za maisha
43. Toa sadaka kwa wingi kulingana na Imani yako.
44..... Endeleeni wajuvi!
1 kor 1 : 18
Rudi kundini ndugu hujachelewa, Tatizo Bado hujakutana na Yesu umekutana na wachungaji, Masheikh na wengine wanaofanana na hao ambavyo kwa vyovyote vile nao Bado ni wanadamu.
Mtafute Yesu sio dini / Mali n.k, siku ukimpata Yesu kwako binafsi ndio utanielewa Nini nnamaanisha...
Pole sana mkuu , Anzisha tuition, amasisha vijana ulinzi shirikishi n.k .. huko dunia ya kwanza ni kawaida mtu kuwa na ajira plus side hustle ata tatu kama kipato hakitoshi,huku kwetu sijui katuroga nani!!!
Pambana hakuna kukata tamaa
Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
Aisee hii ilishanikuta katika level tofauti, Nikaacha fursa kibao zinipite nikiingojea ahadi ya Bwana yule bila kujua natumika.
Kifupi iliniathiri sana katika maeneo mengi, Ni jambo ambalo mpaka leo nilijiona bado wa kuja mjini kivipi kwa Elimu yangu, Makamo yangu na uwezo wangu wa kupembua...
Oya kaka jambazi... Awali ya yote pole na majukumu, Ushatuzoesha kutwa mara mbili, fanya urudi hii arosto yake kila dk nachungulia humu!!
Kongole [emoji106] we ni Mtu na nusu sio kwa misuko suko hiyo, barikiwa kwa kuchangamsha kijiwe!!!
Wale jamaa wa forex sisi wengine wanatuonaga kama mbususu vile [emoji23]
wako mbele ya muda
Bila wasahau hawa forever living and Co
Wengine wanatuonaga hatuko serious na maisha au fursa zinatupita.
Diaspora,wanasheria, bank teller, iphone user.... wadau wametaja huko juu
Uzi wa yule jamaa wa kukimbia Rwanda kipindi cha Genocide alikuwa mfanyakazi ubalozi wa Tz miaka hiyo 1994.
Ulinifikirisha sana kwa matukio Yale.
Yeyote anaeukumbuka anaweza u-quote kwa faida ya wasomaji wengine.
Ila kwa ujumla nyuzi ni nyingi sana nzuri na pongezi ziende kwa waandishi wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.