Mtamtukana ila alicho kifanya ni uamuzi wake na ni wakishujaa. Inaonyesha uzalendo alio nao kwa kutokuogopa kufutwa uwanachama na baadae kukosa ubunge wake. Big up Leticia Nyerere
We katibu wake unamjua! Naona unakazania kusema ilo kanusho si la kweli, hebu tupe basi taarifa kutoka kwa EL au katibu wake inayosema huo umoja na tamko ni la kweli.
Unashabikia usivyo vijua
Pole kwa kuchoshwa ila nikuulize kitu kimoja tu,
Ivi ujachoka kusikia mnyika akilalamika kuhusu ukiukwaji wa demokrasia ndan ya bunge kila siku kila kikao atakacho zungumza?
Kwa maana iyo nyie wote kwa pamoja mnakubali demokrasia hamna CHADEMA!!!
ivyo mnajitetea kuwa hata ccm kinaitwa chama cha mapinduzi ila hawajafanya mapinduzi ivyo ni sawa sawa nyie kutokua na demokrasia ndan ya chama chenu!!!!
mahakama haikuzuia kuket kwa baraza, ila ilizuia kuzungumziwa kuhusu kuvuliwa wanachama katika kamat mpaka zito asikilizwe kwenye baraz la taifa. PROVE ME WRONG kaka
Habar wanajamvi,
Napata wakati mgumu kutafakari kirefu halisi (kilichokusudiwa wakat hii org inaanzashwa) cha CHADEMA. Wengi wetu tunaamini kuwa kirefu chake ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO, ila tunaona wazi kuwa demokrasia inabakwa ndani ya chama ichi.
Kuna mtu aliwahi kusema kuwa maana...
Words words words, hii ni kama riwaya mi naona maana hamna chochote kina nidhibitishia kati ya ulioandika si porojo tu.
Unamalengo mazuri ya unachotaka.kusema lakini utuaminishi kuwa ni kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.