Recent content by Nimepona

  1. N

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    afuate link hii kama inaweza kumsaidia au kumtia hamasa kuacha: Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa
  2. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Nisamehe mkuu ni kushindwa kuelewa maana hilo neno kwa haraka
  3. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Mkuu Joseverest unaharibu uzi mkuu. Athari za hili tatizo ni kubwa acha masihara
  4. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Asante, hii chaputa ife, na kuna chaputawa hii ni ya wanawake. Haya mambo yanafanyika kwa siri sana. Utamkuta mwanamke anakwambia kuwa sina hamu na mwanaume kumbe ni mwathirika wa kujichua. Kuna wanawake wengine hata akiwa na mwnaume wake wanafanya sex lakini anajisugua sana kwenye uke hadi...
  5. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Mkuu usinilishe maneno na naomba uwatake radhi uliowataja, mie sikumaanisha hao uliowaandika. Nilimaanisha watu wasiofahamika/ wasiojulikana na kila mtu anaenda kimya kimya. Umefanya kosa kutaka kuhusisha comment yangu na hawa ndugu. Omba radhi
  6. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Hii ni reply kwa baadhi ya wadau wa MMU huko mtaa wa PM. Naamini itajibu baadhi ya maswali pia ---------------------------------------------- Hiyo blog siikumbuki niliisoma muda mrefu halafu kuna mtu alikuja MMU akaweka kitu kama hicho ila nakumbuka tu maelekezo na jinsi ambavyo mimi nimefanya...
  7. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Nashukuru Mkuu, natumia hii ID kwa siku 5 mfululizo na nitakaporudi kwenye ID yangu ya miaka yote sitarudia tena. Nilitaka ujumbe ufike na umefika na nimejibu baadhi ya maswali na pia kujibu pm zote kwa waliohitaji kwa maswali binafsi .
  8. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Samahani mkuu, si unajua natuma ID mpya na nina majukumu mengine na nimejibu niliyoweza. Kwanza blog yenyewe siikumbi maana ni muda mrefu nilisoma ila nikawa nimeelewa kidogo kichwani nikaanza. Kiufupi nilitaka tiba bila madawa. Na majuzi hapa huo niliona mtu amepost humu MMU. Iko hivi...
  9. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Asante mkuu, ila mie sio member wa chaputa tena. Sitamani kuona mtu kwenye hili janga tena
  10. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Hahahah mkuu ni kwa ajili ya kuthibitisha ubora na viwango tu
  11. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Kwanza blog yenyewe siikumbi maana ni muda mrefu nilisoma ila nikawa nimeelewa kidogo kichwani nikaanza. Kiufupi nilitaka tiba bila madawa. Na majuzi hapa huo niliona mtu amepost humu MMU. Iko hivi. -Nilianza kutumia tangawizi karibia kwenye vyakula vingi. Tangawizi inasisimua misuli...
  12. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Nimeisahau mkuu ila nimeijibu page 2&3
  13. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Hili sio suala la ubishi maana nikikwambia nataka ulete mtu halafu akupe majibu utaona nakukwaza ila nimepona nawe unaweza kupona pia
  14. N

    Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

    Asante, ila nakwambia kuwa punyeto inasababisha misuli kulegea. Kuna kipindi shahawa zilikuwa zinatoka zenyewe mkuu. Nadhani utapotosha badala ya kusaidia watu
Back
Top Bottom