Kwenye haya maisha ukibahatika kupata mwanamke na akakupenda haswa haswa ni wakumkumbatia sana
Usiforce akupende madhara ya kusema IPO siku atageuka ili umuoe halafu sijue akupendee utaumia sana:confused:
Ni kijana 29 na kuendelea.
Ni muajiriwa serikalini lakini pia nimejiajiri.
Naomba nilete mkasa wangu wa yaliyonikuta ambayo mpka sasa naumia na nashindwa wapi nianzie.
NILIPITIA HABARI HUMU KUHUSU KUTOOA WANAWAKE WASOMI,
bila kufikira sana niliamua kumuacha mchumba wangu ambae yuko mwaka wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.