Siyo uongo, ni ukweli mkuu, ila wanaojiunga na CHADEMA ni wale wale waliokuwa CHADEMA, siyo wapya, hivyo operation yao ilitakiwa kuitwa VUA GWANDA KWA MUDA, KISHA LIVAE TENA ILI KUWATISHIA CCM. Huku UK wamewavisha Magwanda Wakenya, eti kuongeza idadi, hii ni usanii usio na manufaa, kwani...