Recent content by Nikubuka

  1. Nikubuka

    Hivi hawa waendesha bodaboda hawayajui matumizi ya Full light wakati wa kiza? maana wanaboa sana

    Wewe unaendesha gari yako kwenye njia ya treni? au lini ulipishana barabarani na treni? This is the home of great thinkers halafu unawaza kitu kama hicho? bora usingecomment!!
  2. Nikubuka

    Siasa kuingizwa jeshini ni jambo la hatari, mchelea mwana kulia

    Inawezekana kukawa na maelezo mazuri sana yaweza kuwa ya Kisiasa, Kiusalama na kadhalika. Kwani nijuavyo mimi hakuna kitu kinatendeka hasa katika karne hii ya sayansi na teknologia, pia kwa nchi yenye hari ya kuwa ya viwanda bila ya kuwa na SABABU ZA KIMSINGI.. Nikirudi kwenye mada husika na...
  3. Nikubuka

    Siasa kuingizwa jeshini ni jambo la hatari, mchelea mwana kulia

    Habari wanajamvi. Nahisi kuna mkanganyiko wa mawazo na fikra, kabla ya kujadili haya yote na kufikia maamuzi ni bora kuanzisha mada itakayohoji nini hasa maana ya hayo yote yaliyotokea. Inawezekana kukawa na maelezo mazuri sana yaweza kuwa ya Kisiasa, Kiusalama na kadhalika. Kwani nijuavyo...
  4. Nikubuka

    Biashara ya masudu

    Poa ila kuna sunflower cake za wachina wa shinyanga zipo kama unga ndio maana nikaweka mkazo mkuu
  5. Nikubuka

    Mashudu ya alizeti yanahitajika

    ukiweka bei itakuwa poa sana.
  6. Nikubuka

    Mashudu ya alizeti yanahitajika

    Unauza au unahitaji?
  7. Nikubuka

    Mashudu ya alizeti yanahitajika

    Labda anataka kubembelezwa wakati anafanya biashara. Ameridhika na maisha au anaona aibu kuwa alichokipost hana.
  8. Nikubuka

    Mashudu ya alizeti yanahitajika

    Mimi ninayo, je bado unahitaji?
  9. Nikubuka

    Biashara ya masudu

    Hayo ni mashudu ya aina gani? Mimi nahitaji cakes na bei unauzaje? Nahitaji kama tani tano. Nijulishe.
  10. Nikubuka

    Natafuta share partner wa biashara ya mafuta ya alizeti

    Na mashudu bei ni kiasi gani kwa tani?
  11. Nikubuka

    Nauza mashudu ya alizeti

    Habari, Hebu naomba bei ya kilo moja kwa sasa. ninahitaji huo mzigo kama kilo 1000. Peace.
  12. Nikubuka

    2015 JPM alisema kuandaa sherehe za Uhuru ni gharama, leo hafla ndogo tu kafanyia uwanja wa Sheikh Amri Abeid

    Mkubwa, nakusihi fanya kazi kujiweka sawa na "YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE MWENYEWE" Ni mawazo tu!
  13. Nikubuka

    Diamond Platnumz inabidi apewe uwaziri au ukuu wa mkoa, amelifanyia makubwa taifa hili

    Napenda kuwa tofauti kwa mtoa uzi huu. jaribu kufanya kinyume, badala ya kuomba apewe kwa nini asifight akaupata. siasa sio kama upepo wa mziki kuna mengi ya kufanya zaidi ya kuona watu wanaongea kwenye Ma-TV. Next time jipange na ufikirie vya kutosha. Lete mada za kujenga na sio kupotosha kwa...
  14. Nikubuka

    Mayai ya kuku wa kisasa yanahitajika

    Habari! Napenda kutoa fursa kwa yeyote ambaye ataweza kusupply mayai tray 150 kwa wiki. Mazingatio ni kama ifuatavyo 1. Mayai yawe safi pia bila kupasuka. 2. Aweze kuyapack kwa ajili ya kuyasafirisha mkoani. 3. Uaminifu ni jambo la msingi, hivyo tungependa kuwasiliana na mzalishaji moja kwa...
  15. Nikubuka

    Mayai ya kuku wa kisasa iringa

    Hi Brother, hayo mayai ya kisasa bado una deal nayo? nahitaji tray kama nyingi, nipe bei nzuri?
Back
Top Bottom