Ukiona zile clip za watu wanachota mafuta wakiwa na madumu wala huwezi kumshambulia bibie kwa mtazamo wake!
Tuache kutetea vitendo vya kihalifu kwa kuhurumia waliokufa.
I sees! You are talking nonsense kabisa! Wahanga ni wahalifu. Tusiwaonee huruma wahalifu kwa kuwa wamekufa. Tuwe wakweli ili kukomesha tabia hizi mbaya za watu kupora wahanga wa ajali.
HAPANA! Hatuwezi kuwa taifa la vibaka!
Umeambiwa ni za'UWEKEZAJI' Watu wanakuja na pesa zao kuwekeza kwenye hiyo miradi. Siyo misaada wala mikopo. Nchi inanufaika kwa wananchi kupata ajira na mirahaba na kodi.
Najua kuna trafiki wa kutosha humu jamvini,kuna tatizo kubwa la waendesha baiskeli usiku. Wanendesha baiskeli ambazo hazina taa wala refrector. Jambo hili ni chanzo kikubwa cha ajali usiku. Wananchi waelimishwe kuhusu tabia hii hatarishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.