Recent content by NIKO-T3SLA

  1. N

    Kama si ujio wa wakoloni, uzao wa watu weusi ungekuwa ushafutika duniani (wiped out/ gone extinct)

    M Mungu kaingiaje hapa sasa? Mbona unapenda kuchafua nyuzi za watu jamani.
  2. N

    Je, tuanze safari kwenda Galaxy zingine kimakazi zaidi..?

    Kama unaona mambo ya kufikirika, tambaa. Siyo kila uzi umwage uharo wako. Sayansi ni njia moja kati ya njia bora kabisa ambazo zimemsaidia mwanadamu kuelewa mazingira yake na kuweza kuepukana na shida, taaab, majanga na misukosuko mbalimbali.
  3. N

    Je, tuanze safari kwenda Galaxy zingine kimakazi zaidi..?

    Uwezekano unaangaliwa kabla na si baada ya kuangalia madhara, uwezekano wa kuishi MARS, TITAN,IO, n.k. umeangaliwa kabla na si baada
  4. N

    Je, tuanze safari kwenda Galaxy zingine kimakazi zaidi..?

    Unaweza uondoke na bado hujajua, but that's not too bad kwakua hauko pekeako. Manguli wa sayansi, falsafa, dini na werevu mbalimbali waliondoka bila kujua nn kusudi la uwepo wetu hapa duniani. Maisha ni jinsi vile unavyo yafanya au unavyo yapatia maana ww. ikiwa ww unaamini purpose ya uwepo wako...
  5. N

    Je, tuanze safari kwenda Galaxy zingine kimakazi zaidi..?

    Wormhole bado ni assumption tu kaka, bado tuna safari ndefu sana
  6. N

    Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

    S Source plz, or it didnt happen
  7. N

    Miongoni mwa maswali ya UONGO na KIJINGA

    FFS, are we still debating this ?
  8. N

    Raila atanganza kuunda mfumo wa wananchi utakaokua serikali mbadala

    acha udungayembe wewe utaendaje kupiga kura na miwatu ya RAO imekaba kila kona kuhakikisha hakuna anapiga kura ? watu hawajapiga kura kutokana na kuogopa takataka za RAO ambazo zinaweza sababisha maumivu. ko takwimu zako bado hazina uzito kusema kwamba 42% ambayo haijapiga kura ni takataka za...
  9. N

    Uzi maalum wa kutupia picha yoyote ya Handsome boy

    inaonekana madogo wa mashariki ya mbali wanafumua mfereji. sio bure.
  10. N

    Uzi maalum wa kutupia picha yoyote ya Handsome boy

    ko hii takataka ni hendsamu ?. mamaeeeeee umekosa kazi, nakuweka kapuni
  11. N

    Understand First how People assembly works

    swahili yenu imekosa swaga mamaeeeeee
  12. N

    Proving the existence of allah(s.W.T) to an atheist

    ila mungu akiacha ujinga dunia itakuwa mahali salama sana.
  13. N

    Sisi Wanaume wa Dar leo hii tumesimama hapa Kuwapa ukweli Halisi. Dar Vs Mikoani Battle is around

    huwa napata shida sana kuwatofautisha kati ya wanaume wa Dar na mademu. anayejua utofauti wao anisaidie tafazar, ikiwezekana atupie na picha labda nitaelewa.
Back
Top Bottom