Recent content by nikessy

  1. nikessy

    Tanzania Has Lost 60 Percent Of Its Elephants To Poachers In 5 Years

    Wanyama wetu wanaisha tutabakia na picha.. Inatakiwa Moyo na Jitihada za Dhati kuwanusuru viumbe hawa na ukatili huu...
  2. nikessy

    Mapepo matano yanayoitesa dunia

    Binadam amejaliewa utashi na maarifa.. Hekima ya Kimungu ikukuongoza utayashinda..
  3. nikessy

    Mjengo wa Ajabu anaomiliki Mh. Sitta Huu hapa

    Anasahili mbona
  4. nikessy

    Mapunye: Fahamu kuhusu chanzo, tiba na athari zake kwa ngozi yako

    Hongera! Nani alikushauri kuzitumia?
  5. nikessy

    Mfagiaji (mbeba maboksi) amng'oa Waziri

    huyo ndiye kiongozi,. ameonyesha kujali maadili. jiulize ingekuwa Tz kwetu angejiuzulu?
  6. nikessy

    matokeo K2 balaa lingine

    matokeo haya yanatisha na utaratibu wa kushusha viwango vya ufaulu kutoka 30 hadi 20 waweze kuendelea kidato cha tatu, huku waliofeli kwa mara ya pili wakipewa nafasi ya kurudia tena. matokeo yake tutayaona kwa kushuka ufaulu kidato cha nne mwaka 2015. ndio tunaboresha kweli hapo wadau?
  7. nikessy

    UJANGILI BALAA kasi ya mauwaji ya tembo serekali yatoa tathimini

    serikali haijajizatiti hasa katika ulinzi wa rasilimali, uratibu na sheria ziboreshwe.
  8. nikessy

    Naibu waziri maliasili awasimamisha kazi watumishi 21

    amethubutu apewe nguvu zaidi na vyombo husika.ar es Salaam leo, Mhe. Nyalandu alisema kati ya watumishi hao 21, 11 wanatoka Kikosi Dhidi Ujangili Arusha, 4 Pori la Akiba Rukwa-Lwafi, 1 Kikosi Dhidi Ujangili Bunda, 3 Pori la Akiba Maswa, 1 Pori la Akiba Selous, na 1 Mapori ya Akiba...
  9. nikessy

    o-level kurudishwa kwenye shule zilizokuwa na a-level tupu

    waliwaza nini kuondoa olevel katika shule za advance, nnahisi litakuwa limechangia kuporomoka kwa elimu yetu Tanzania pia. ni safi sana, linawapa wanafunzi nafasi na mwamko zaidi wa kusoma!
  10. nikessy

    Kunywa maji mengi

    maji muhimu sana kwa afya na kutoa sumu mwilini
Back
Top Bottom