matokeo haya yanatisha na utaratibu wa kushusha viwango vya ufaulu kutoka 30 hadi 20 waweze kuendelea kidato cha tatu, huku waliofeli kwa mara ya pili wakipewa nafasi ya kurudia tena. matokeo yake tutayaona kwa kushuka ufaulu kidato cha nne mwaka 2015.
ndio tunaboresha kweli hapo wadau?
amethubutu apewe nguvu zaidi na vyombo husika.ar es Salaam leo, Mhe.
Nyalandu alisema kati ya watumishi hao 21, 11 wanatoka Kikosi Dhidi
Ujangili Arusha, 4 Pori la Akiba Rukwa-Lwafi, 1 Kikosi Dhidi Ujangili
Bunda, 3 Pori la Akiba Maswa, 1 Pori la Akiba Selous, na 1 Mapori ya
Akiba...
waliwaza nini kuondoa olevel katika shule za advance, nnahisi litakuwa limechangia kuporomoka kwa elimu yetu Tanzania pia. ni safi sana, linawapa wanafunzi nafasi na mwamko zaidi wa kusoma!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.