Recent content by NIJUE

  1. N

    Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19

    Duh,wasomi njaa wetu. Tanzania bado xana,kuwa mwanachama Wa Ccm sio ndo ukubaliane na ujinga ujinga. Hivi mnadhani Ccm ndo Mwenye hii nchi tu!.Uzee mbaya,mungu nisaidie
  2. N

    Unadhani ni Kitu gani kimembadili ghafla Profesa Shivji na sasa hana Uharaka wa Katiba Mpya huku akisema ni Jambo la Kimjadala zaidi?

    Kwa vyovyote vile,iwe usiku ama mchana.Jamhuri yetu ya leo,sio ile ya miaka ya 80-95. Anaumri gani kwa sasa,na elimu yake ameipatia katika mazingira gani.Hatutaki ujima sisi Tanzania ya leo. Ajiulize tangu amepata huo uprofeseli ni miaka mingapi imepita. Wazee wakae kimya,maana kwa upande wao...
  3. N

    Leo nimerejea tena Kuangalia marudio ya Maziko ya Hayati Rais Dkt. Magufuli kule Chato nikajikuta napata Swali la Kumuuliza Rais Mstaafu Kikwete

    Umeangalia Marudio ya mazishi ya hayati JPM,afu ndo umekuja na maswali haya!. Subili nae labda atakaporudia kuangalia hayo mazishi nae ajilidhishe. Ila pole sana mkuu.wenzio tunakunywa bia
  4. N

    Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

    Kama una akili timamu,emu weka bandiko LA kudai katiba mpya.Nijue dhamira yako.maana sijakuelewa.
  5. N

    Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

    Hao pia ndo maadui wa taifa kwenye huu ulimwengu wa kidijitali .wasomi wajinga ambao hawajawahi tokea Tanzania. Mama anawachabo,afu wewe unakurupuka kuja na utoporo wako kuwachongea.ungejua hawataki hats kutajwatajwa kwenye ulimwengu wa DIGITAL
  6. N

    Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

    Mwacheni achape kazi Rais.Uongozi wake hauumizi watu.Huyo msando mnazushia kashfa.Nijue tu kwani GIGY anasemaje,alienda kushtaki au ilikuwa ni mambo yao binafsi. Nchi imetulia kwa sasa OVER
  7. N

    Dodoma: Nicodamus Maganga (Mbunge) adai Mishahara na Posho haiwatoshi Wabunge. Ashangiliwa...

    Khahahaha,wakatwe kodi kwanza halafu waharishe huo uharo wa kijani.Kwa maoni yangu nadhani bunge ndo taasisi inayoongoza katika kufirisi nchi.Ukiacha dawa na ujenzi wa miundombinu.
  8. N

    Kwanini CHADEMA wanamwona Mbowe wa kipekee (exceptional)?

    Khaaaaaaaa,Huyo mjuba achana nae.nasikia hata Uvccm wanatamani akawahutubie. Nijue tu,aliwahi kukufanyia mini baya labda.
  9. N

    Wabunge19 Viti Maalum wanaojitambulisha kwa jina la CHADEMA washitakiwe

    Jamani,ukisema hao dada zetu washitakiwe mtakuwa mnawaonea Bunge lote kikatiba ni batili OVER
  10. N

    Kodi ya Uzalendo kwa Wabunge

    Daaaaah!.ongezeni zaidi maana hakika namna.so mpo wenyewe kiharamu.ila mtakuja kuzitapika one day. Kwa hiyo tukatwe kodi ili mnufaike ninyi wajinga wakubwa. Ila na watanzania wengi wetu ni majuha wa karne.ukikataa basis Nijue ni hatua gani ulishajaribu kufanya.CCm ni kirusi cha corona ambacho...
  11. N

    Rais Samia, funga mwaka iliyofanywa Serikalini ni balaa

    Acheni watulize akili jamani,kipindi cha meko kazi ilikuwa kama adhabu.utadhani ajira ni kulipa mkopo wa FINCA
  12. N

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nani huyu?

    Daaaaah!.hii kitu ungejaribu kuliongelea vijiweni.humu unatukosea heshima ya JF. Hukuwahi kuulizia utekwaji,mauwaji ya waandishi wa habari,ukamatwaji wa viongozi wa upinzani,na katiba kusiginwa. Nijue tu unaelimu kiasi gani tuanzie hapo.
  13. N

    Naombeni orodha ya waliotemwa nafasi za Ukuu wa Wilaya

    Mi kiukweli nilifurahi sana,japo sina kitu.Nina amani moyoni.
  14. N

    Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

    Thex sana mkuu,nakupenda bule tu.maana we ni nguli kwelikweli.
Back
Top Bottom