Nilibahatika kufaulu written interview ya kule sekreatieti ya ajira na nikafanya Oral interview. Lakini hadi sasa sijaiona jina langu kwenye mikeka inayotoka.
Mwalimu wa Primary ngazi ya diploma, na pia naona kila mkeka unaotoka watu wa diploma ya primary wanatusahau kabisa ila wale wa...
Nakushauri tembelea sites au camp za kampuni zilizoshika tenda za ujenzi wa barabara, hauwezi kosa kazi.
Kuna baadhi ya kampuni huwa wanatafuta sana ma OP.
Kuna kampuni inaitwa inaitwa SPECIALIZED ina ma lorry zaidi ya 1,000 yanabeba makaa ya mawe kutoka Mkoa wa Ruvuma...
.
Naskia kashusha kashusha Gari nyingine 500 bandarini...
.
Watu wana pesa aisee.
Tumia What'sApp groups na What'sApp Status utakuja nishukuru...
.
Hapa unatakiwa uwe na contacts nyingi What'sApp usave...Unazipata vp hizi contacts?...
.
Unazipata Facebook, Instagram na kwenye What'sApp groups...
.
Kikubwa jifunze Copywriting tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.