Recent content by Niite Profesa

  1. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Utumishi Niliingia Oral Interview Lakini Bado Sioni Jina

    😂😂😂 Si ndo hapo sasa nimejificha kwenye kivuli cha uprofesa
  2. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Utumishi Niliingia Oral Interview Lakini Bado Sioni Jina

    Anhaa kumbe sikuwa Najua hilo
  3. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Utumishi Niliingia Oral Interview Lakini Bado Sioni Jina

    Sawa kaka ngoja niwe mvumilivu
  4. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Utumishi Niliingia Oral Interview Lakini Bado Sioni Jina

    Asante sana
  5. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Utumishi Niliingia Oral Interview Lakini Bado Sioni Jina

    Sawa Kennedy
  6. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Utumishi Niliingia Oral Interview Lakini Bado Sioni Jina

    Bado ila naumia kuona kuna mda mikeka 4 mfululizo hakuna diploma msingi hata mmoja.
  7. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Utumishi Niliingia Oral Interview Lakini Bado Sioni Jina

    Nilibahatika kufaulu written interview ya kule sekreatieti ya ajira na nikafanya Oral interview. Lakini hadi sasa sijaiona jina langu kwenye mikeka inayotoka. Mwalimu wa Primary ngazi ya diploma, na pia naona kila mkeka unaotoka watu wa diploma ya primary wanatusahau kabisa ila wale wa...
  8. Niite Profesa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mdada kanipenda au ananionea huruma tu?

    😂😂😂
  9. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Dondoo za usaili wa kuandika (Written) kupitia mfumo wa kidigitali

    Nimeingia kaka pale kwenye My Application Kuna tu Ile status ya received
  10. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Dondoo za usaili wa kuandika (Written) kupitia mfumo wa kidigitali

    Nisaidie kaka mi ni mwalimu wa vidudu/ nasali
  11. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Dondoo za usaili wa kuandika (Written) kupitia mfumo wa kidigitali

    Ndugu zangu nitajuaje kama nimeitwa kwenye usaili wa ajira Portal kwa kada ya ualimu, msaada
  12. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi (operator wa loader na excavator)

    Nakushauri tembelea sites au camp za kampuni zilizoshika tenda za ujenzi wa barabara, hauwezi kosa kazi. Kuna baadhi ya kampuni huwa wanatafuta sana ma OP.
  13. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

    Kuna kampuni inaitwa inaitwa SPECIALIZED ina ma lorry zaidi ya 1,000 yanabeba makaa ya mawe kutoka Mkoa wa Ruvuma... . Naskia kashusha kashusha Gari nyingine 500 bandarini... . Watu wana pesa aisee.
  14. Niite Profesa

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Mbinu za kupata wateja online ukiachana na kupost facebook

    Tumia What'sApp groups na What'sApp Status utakuja nishukuru... . Hapa unatakiwa uwe na contacts nyingi What'sApp usave...Unazipata vp hizi contacts?... . Unazipata Facebook, Instagram na kwenye What'sApp groups... . Kikubwa jifunze Copywriting tu.
Back
Top Bottom