Recent content by Nihuyo Mimi

  1. N

    Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

    hiyo siyo dini ana namna yake ya upokeaji wa hiyo dini uislamu hakika umekamilika na ni dini ya haki hakuna mahali uislamu umehamlisha binadamu kuishi kama wa nyama kama huyo ndugu anavyoiishi. pia inawezekana mahali halipo pata mafunzo ya dini siyo sahihi ila Allah ndiyo mjuzi, mimi ni miongoni...
  2. N

    Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

    hiyo siyo dini ana namna yake ya upokeaji wa hiyo dini uislamu hakika umekamilika na ni dini ya haki hakuna mahali uislamu umehamlisha binadamu kuishi kama wa nyama kama huyo ndugu anavyoiishi. pia inawezekana mahali halipo pata mafunzo ya dini siyo sahihi ila Allah ndiyo mjuzi, mimi ni miongoni...
  3. N

    Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

    nilikuwa na muangalizia dogo naona bado hakuna mabadiliko inaonesha aendele kutembelea account yake mpaka 8 November[emoji23][emoji23]
  4. N

    Mo Scholarships 2022 (Mo Foundation)

    Mkuu hauna link dogo achangamkie hii fulsa[emoji120]
  5. N

    Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    sema wale jama maeneo mengi ya mkoa wao yapo smart sana ,masifa yao yana kaukweli flani hivi
  6. N

    Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Mkuu kuna mdogowangu alikuwa mnufaika wa bodi ya mkopo ila mwaka wa kwanza tu akaliwa kichwa hivyo anahitaji kulipa hiyo asilimia 25 ili haweze kujalibu bahati yake,, sasa anashindwa namna ya kurequest control number ili haweze kulipa. Msaada wako mkuu
  7. N

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    wakuu mtu mwenye link ya game yetu msaad please
Back
Top Bottom