Recent content by niggarz upbaganika

  1. N

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma

    Uko vizuri mkuu. Aina hii ya muungano haipo mahali popote duniani. Namkumbuka Mbunge Charles Kashemeza Kabuye (RIP) alipendekeza Zanzibar iwe mkoa wa 21(wakati Ile) na Dr. Salmon Amour awe mkuu wa mkoa. Namkumbuka wabunge wa Zanzibar walitaka kummeza!! Ipo siku akili ikitukaa sawa tutaukubali...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Tanzania yasaini Makubaliano ya Msaada wa Tsh. Bilioni 193 kutoka Ujerumani

    Ndugu, taratibu! Kuwa muungwana! Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  3. N

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Night Club Dar imekufa?

    Mbona una hasira sana? Relax!! Usiyafanye maisha kuwa magumu hivyo!!
  4. N

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Wewe una chuki zako tu. Rais Samia anaenda vizuri tu. Ikumbukwe hakuwa amejiandaa lakini amejitahidi kwa kiwango kikubwa. Kama huwa anapitia threads za JF namshauri awapuuze wapuuzi Kama nyie. Go Samia go! Watanzania tunaojitambua tuko pamoja na wewe!!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

    Duuu!!! Hiiiii!! Sijaelewa aliyeelewa anisaidie.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

    Una lako jambo bibie! Funguka!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Utapata murder case mkuu!!
  8. N

    JamiiForums Tanzania Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

    Mkuu Latin American countries unazijua wewe? Uwe unafanya utafiti. Hapo bado baadhi ya European countries.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kweli Mbowe anapewa nafasi kuongea, ananyimwa Jakaya? Nashauri familia hizi zikae zimalize bifu

    Naomba itoshe. Tumpumzishe Mzee Kikwete! Ninavyomjua, kwa umri alionao keshakutana na sekeseke za kutosha! Binafsi huwa namkubari JK! Namshauri aendelee kuwanyamazia. Huu ni upepo unapita na Manisha yanaendelea. Pole sana Mzee Kikwete!!
  10. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuongoza maelfu ya Watanzania kumpumzisha Edward Lowassa katika nyumba yake ya milele

    Huyu ni rais wa nchi na amirijeshi mkuu. Kumbuka msiba ni wa kitaifa
  11. N

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA kwa Nini hawajathamiwa kanisani Azania Front?

    Kama kwa mbaalii nakuelewa. Asante sana!!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA kwa Nini hawajathamiwa kanisani Azania Front?

    Nafuatilia ibada ya kumuaga THE LATE LOWASA. Wamepewa nafasi ya kutoa salami watu wengi, Mbowe yupo lakini sioni akipewa nafasi ya kutoa salami hata kutambulishwa uwepo wake, Kuna nini??
  13. N

    JamiiForums Tanzania Miradi ambayo imeshimdwa kumalizika toka baada ya kifo cha Rais Magufuli 2021

    Wajinga Kama Hawa watakuchosha mkuu! Wanadhani kujikusanyia vimaneno vya kiingereza visivyo na grammatical agreement ni ujanja. Hawajui kwamba wanawatia kuchefuchefu wanaoimudu fluently lugha ya wakoloni wetu!! Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom