Recent content by NIFEDIPINE

  1. N

    Nahitaji mpenzi

    Hello habari zenu. NAMI nichukue fursa hii kutafuta mpenzi. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35,mwajiriwa serikalini, nimeoa mke yupo mkoani. Nahitaji mpenzi Ambaye: 1. Ana umri kuanzia 22 mpaka 33 2. Awe ana kazi inayomuingizia kipato/asiwe tegemezi. 3. Awe tayari kupima afya/HIV/Pregnancy test...
  2. N

    Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

    Nawe pia uwe tayari kutoomba hela/kuhudimiwa kwa aina yoyote mpaka utakapoolewa
  3. N

    Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

    Ni hadithi hii. Not real. Kama si hadithi ni chai. Haiko real
  4. N

    Tetesi: Inadaiwa Watumishi waliopambana dhidi ya UVIKO 19 hawajalipwa

    Pamoja na Serikali kutoa TSH bilioni 3 kwa ajili ya kuwalipa watumishi waliopambana dhidi ya UVIKO 19 na kuahidiwa mwezi wa Tisa mwaka huu kuwa ndani ya wiki mbili watapata pesa zao Bado hakuna mtumishi yeyote aliyepata fedha hizo au kuwekewa kwenye akaunti yake kama NAIBU WAZIRI MOLLEL...
  5. N

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Watumishi waliopambana dhidi ya UVIKO 19 waliahidiww kulipwa stahiki zako na Naibu Waziri baada ya wiki mbili zitakuwa zimeingia kwenye account zao. Cha kushangaza ni karibu mwezi Sasa unakatika hakuna chochote. Vipi hapo mnalizungumziaje HILO JAMBO? Mnataka watumishi hao wawaeleweje?
  6. N

    Madaraja mapya sasa basi, achia Madaraja ya watumishi

    Nami ni muhanga wa hili la kutopandishwa madaraja kwa miaka saba sasa. Ni vizuri watumishi tukapewa haki yetu. Viingizi wengi wanazungumzia utendaji bora bila kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi
  7. N

    Wezi wenye 'leseni ya kukuibia' Kariakoo

    Vifaa vya electronics na vifaa vya umeme jitahidi ununue katika maduka ya wahindi. Hata kama ni bei kubwa. Wao huwa hawana longolongo. Wabongo wenzetu wengi si waaminifu
  8. N

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Nahitaji mpenzi wa kusogeza naye siku. Umri kuanzia 26 hadi 35 Asiwe na commitment nyingine ya mahusiano. Au kama anayo basi iwe mbali na yeye Mie niko Dar. Na yeye awe Dar Awe mrefu/wastani, mrembo Awe ana kazi yake inayo muingizia kipato, asiwe tegemezi Mie ni mwajiriwa. Nahitaji mpenzi/Friend...
  9. N

    Watumishi wa Umma na vyama vya wafanyakazi mbona mmeridhika na ukandamizaji wa Serikali

    Naomba kujua namna ya kujitoa katika chama cha tughe
  10. N

    Uchaguzi 2020 Twende na Bernard Membe, tuunde Serikali ya kazi na bata! Naomba kura zenu

    Utapataje kura wakati hufanyi kampeni mheshimiwa. Wenzako wanakimbia huku na kule.
  11. N

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Watumishi wa Afya walioajiriwa september 2013 na 2014 kwa sasa wana miaka takribani 6 mpaka 7 kazini na hawajawahi kupandishwa madaraja ya mishahara yao ambao ni Takwa la kisheria Mnaahidi watapandishwa LINI? SABABU ZA MSINGI KUWACHELEWESHEA HAKI YAO NI NINI?
  12. N

    Rais Magufuli pandisha madaraja ya mishahara watumishi wa Umma, ni haki yao

    Pandisha madaraja ya mishahara watumishi wa umma kuanzia August 2013 na 2014. Watumishi hawa wanasubiri tamko lako ili wapande madaraja mishahara yao iongezeke. Viongozi wanasubiri useme kitu ili wapitishe. Toa tamko maana ni haki yao kupanda madaraja na ulisema hujakataza kupanda madaraja...
  13. N

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Habari za kazi mheshimiwa rais. Pole kwa majukumu yako ya kusafiri sehemu mbalimbali kwa ajili ya kufanya kampeni Sisi watumishi wa umma ambao hatujapandishwa madaraja ya mishahara tunaomba utoe kibali ili tuweze kupandishwa madaraja Tunajua kwa sasa huwezi kuongeza mishahara. Lakini kwa sisi...
  14. N

    Walinzi wa Amana Hospitali ni tatizo kubwa sana!

    Ni vizuri kia mtu apende kufuata utaratibu uliowekwa na ofisi yoyote. Kama ni muda wa kuona wagonjwa ni kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa mojabasi fima muda huo uliopangwa na ofisi hisika. Wewe unakuja saa mbili na dakika tano,harafu unaanza kuhalalisha kuchelewa kwako. Operesheni anafanya...
  15. N

    Nimeamua nimwache mke wangu miezi mitatu baada ya kujifungua

    Huu sasa ni ukatili wa kijinsia. Ni ukatili wa kisaikolojia,Emotional Violence Tutokomeze ukatili huu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom