Recent content by NIFEDIPINE

  1. N

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwanini madaktari wenye level moja wanalipwa tofauti? Mfano daktari aliyeko Muhimbili, benjamini mkapa, hospitali za Rufaa za mikoa na hospitali za wilaya mishahara yao ni tofauti ili hali elimu zao ni sawa na wamesoma chuo kimoja? Hii hali huwavunja moyo madaktari hawa wanaofanya kazi wilayani...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Magari ya Wagonjwa bila kuchangia hupati huduma

    Hakuna vya Bure. Hospitali Haina bajeti ya kila mgonjwa kupelekwa rufaa sehemu nyingine. Isipokuwa na mafuta ni jukumu lako kuchangia mafuta
  3. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemnunulia mama yangu mzazi zawadi ya nguo Mke atokwa na maneno makali ya dharau

    Acha ujinga na kutaka kujionyesha kwa mkeo. Ukitaka kumnunulia mama yako mzazi nguo au kitu Fanya mwenyewe kwa wakati mwingine. Kamnunulie nguo kisha mpelekee bila ya mkeo kujua. Si lazima mkeo ajue. Kama hujui umnunulie nini mchukie mdogo wako/dada yako wa kike mwende naye akusaidie kuchagua...
  4. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu ambaye mli-have a great time akaacha kukutafuta ghafla?

    Utakuwa ulimuomba hela. Kuna wanawake mmefanya yenu, baada ya hapo umamoa hela nzuri tu baada ya tendo. Wiki haiishi anakwambia naomba hela ya matumizi, mara ninunulie kitu flani. Sasa mwanaume anaona huu ni usumbufu. Tena utakuta huyo mwanamke ana mtu wake, lakini ww ndio unabebeshwa matatizo yake.
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume usikwepe majukumu yako kwa mpenzi wako umpendaye

    Majukumu haya ni kwa wake tulioooa. Kama ni mchumba hujamuoa, si wajibu wako. Fanya pale utakapojiskia na si utaratibu
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi mwanaume gentleman ndio mwanaume wa namna gani?

    Hiyo elf 30 ungempa mama yako mzazi akanunue nyama angekushukuru na kukupa baraka pia
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukimuomba hela kila siku hana

    Tatizo mwanamke unaingia kwenye mahusiano ukiamini yatakutoa kimaisha. Jitahidi ufanye kazi zako na kupata hela ya kukusaidia kimaisha. Ukichukukia mahusiano kama sehemu ya kufaidika kimaisha siku zote hautaona unapata mtu sahihi Pia kama ni mme wa mtu hutakiwi kuwa naye kimahusiano. Yeye ana...
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mpenzi

    Hello habari zenu. NAMI nichukue fursa hii kutafuta mpenzi. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35,mwajiriwa serikalini, nimeoa mke yupo mkoani. Nahitaji mpenzi Ambaye: 1. Ana umri kuanzia 22 mpaka 33 2. Awe ana kazi inayomuingizia kipato/asiwe tegemezi. 3. Awe tayari kupima afya/HIV/Pregnancy test...
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

    Nawe pia uwe tayari kutoomba hela/kuhudimiwa kwa aina yoyote mpaka utakapoolewa
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

    Ni hadithi hii. Not real. Kama si hadithi ni chai. Haiko real
  11. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa Watumishi waliopambana dhidi ya UVIKO 19 hawajalipwa

    Pamoja na Serikali kutoa TSH bilioni 3 kwa ajili ya kuwalipa watumishi waliopambana dhidi ya UVIKO 19 na kuahidiwa mwezi wa Tisa mwaka huu kuwa ndani ya wiki mbili watapata pesa zao Bado hakuna mtumishi yeyote aliyepata fedha hizo au kuwekewa kwenye akaunti yake kama NAIBU WAZIRI MOLLEL...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Watumishi waliopambana dhidi ya UVIKO 19 waliahidiww kulipwa stahiki zako na Naibu Waziri baada ya wiki mbili zitakuwa zimeingia kwenye account zao. Cha kushangaza ni karibu mwezi Sasa unakatika hakuna chochote. Vipi hapo mnalizungumziaje HILO JAMBO? Mnataka watumishi hao wawaeleweje?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Madaraja mapya sasa basi, achia Madaraja ya watumishi

    Nami ni muhanga wa hili la kutopandishwa madaraja kwa miaka saba sasa. Ni vizuri watumishi tukapewa haki yetu. Viingizi wengi wanazungumzia utendaji bora bila kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi
  14. N

    JamiiForums Tanzania Wezi wenye 'leseni ya kukuibia' Kariakoo

    Vifaa vya electronics na vifaa vya umeme jitahidi ununue katika maduka ya wahindi. Hata kama ni bei kubwa. Wao huwa hawana longolongo. Wabongo wenzetu wengi si waaminifu
  15. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Nahitaji mpenzi wa kusogeza naye siku. Umri kuanzia 26 hadi 35 Asiwe na commitment nyingine ya mahusiano. Au kama anayo basi iwe mbali na yeye Mie niko Dar. Na yeye awe Dar Awe mrefu/wastani, mrembo Awe ana kazi yake inayo muingizia kipato, asiwe tegemezi Mie ni mwajiriwa. Nahitaji mpenzi/Friend...
Back
Top Bottom