Recent content by Nicolas J Clinton Gabone

  1. Nicolas J Clinton Gabone

    Mageuzi ya muonekano wa viwanja vya Uhuru na Benjamin Mkapa kuelekea CAF 2027

    MAGEUZI YA MUONEKANO WA VIWANJA VYA UHURU NA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA CAF 2027 Imeandaliwa na, Nicolas Jovin Clinton Gabone Serikali ya Tanzania na Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) wameshiriki kikamilifu katika ukarabati wa viwanja vikuu vya Uhuru na Benjamin Mkapa, wakiweka mkazo mkubwa...
  2. Nicolas J Clinton Gabone

    Kusitishwa kwa safari za treni ya SGR kati ya Morogoro na Dodoma, nidhamu ya kitaifa inatakiwa kuwa mjadala wa kisera na na kisheria

    KUSITISHWA KWA SAFARI ZA TRENI YA SGR DAR ES SALAAM–DODOMA Na, Nicolas Jovin Clinton Gabone Hivi karibuni, Shirika la Reli Tanzania TRC limethibitisha rasmi kusitishwa kwa muda usiyojulikana kwa safari za treni ya SGR kati ya Morogoro na Dodoma, hatua inayosababisha athari za moja kwa moja...
  3. Nicolas J Clinton Gabone

    Kuhusu mustakabali wa Tanzania na uchaguzi wa busara ya kihistoria

    HOTUBA KWA TAIFA KUHUSU MUSTAKABALI WA TANZANIA NA UCHAGUZI WA BUSARA YA KIHISTORIA Hotuba kwa Taifa, vyombo vya Habari na wananchi ndani na nje ya Nchi. Ndugu wananchi, Watanzania wenzangu, Na wote mnaolipenda taifa letu, Leo nasimama mbele yenu kwa heshima kuu, kwa uzito wa moyo na kwa...
  4. Nicolas J Clinton Gabone

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Kuvunja Muungano wetu, ni kitendo cha hovyo sana, tunatakiwa kulinda umoja wetu katika Muungano. Moja ya silaha kubwa hapa Afrika imekuwa fupa gumu ni kugawanyika tangu Uhuru na baada. Nguvu ipo kwenye umoja, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni ishara ya umoja wa Afrika, changamoto ni...
  5. Nicolas J Clinton Gabone

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Hatuwezi kuvunja Muungano wetu, vingine sawa.
  6. Nicolas J Clinton Gabone

    CCM ijisahihishe sasa

    CHAMA CHA MAPINDUZI KIJISAHIHISHE Comrades, tunakabiliwa na sura mpya na yenye mvutano mkubwa katika siasa za Tanzania. Muda mrefu migogoro ya kisiasa ilikuwa kati ya CCM na vyama vya upinzani. Lakini kwa sasa, hali imebadilika, mvutano mkubwa ni kati ya CCM na wananchi wenyewe. Jambo hili...
  7. Nicolas J Clinton Gabone

    Serikali ya mpito Tanzania baada ya uchaguzi mkuu 2025

    TRANSITIONAL GOVERNANCE IN TANZANIA, FOLLOWING THE 2025 ELECTIONS WRITTEN BY Nicolas Jovin Clinton Gabone I do not claim the Authority to act, rather, these are my Personal views as a Tanzanian who is deeply dissatisfied with the arrogance, indifference and disregard shown by the Government...
  8. Nicolas J Clinton Gabone

    Dar es salaam 25 year project

    Maoni ya mpango wa maendeleo wa miaka 15-25 wa kuifanya Dar es salaam kitovu cha biashara za kimataifa Nicolas Jovin Clinton Gabone Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Mageuzi (JUVIMA)- NCCR-Mageuzi USICHOKE ISOME YOTE Dar Es Salaam, mji mkuu wa kiuchumi wa Tanzania na kitovu cha...
  9. Nicolas J Clinton Gabone

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Tanzania ya mshikamano

    RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN NA TANZANIA YA MSHIKAMANO Na, Nicolas Jovin Clinton Gabone. Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Mageuzi (JUVIMA)-NCCR-Mageuzi Dar Es Salaam 4 May 2025. Rais Samia Suluhu Hassan ni moja ya wanawake wachache wenye uwezo na nguvu ambao wamefanikiwa kuongoza...
  10. Nicolas J Clinton Gabone

    MKOA WA PWANI UGAWANYWE

    Mkoa wa Pwani ugawanywe Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na Mkuranga ziunde jiji la Dar Es Salaam. Rufiji, Kilwa, Mafia na Kibiti ziunde Mkoa wa Pwani/Rufiji/Kilwa. Mikoa miwili ya Tanzania bara yaani Morogoro na Tabora iwe mikoa ya Viwanda vikubwa/vizito zaidi na technologia ya majeshi yetu na...
  11. Nicolas J Clinton Gabone

    PreGE2025 Bunge lirefushe madaraka ya Rais Samia ili kupisha Mageuzi ya kisheria na kikatiba

    Ni miaka zaidi ya 30 sasa imepita pale ambapo wanasiasa, wadau wa Demokrasia na wanaharakati walitaka kutokee kwa Mageuzi ya sheria za uchaguzi na Katiba ambayo yanahakisi mabadiliko ya kurejea kwa mfumo wa vyama vingi Nchini chini ya NCCR-Mageuzi, lengo la vuguvugu hili mpaka kinabadilishwa na...
  12. Nicolas J Clinton Gabone

    Wakati Uganda imeshaanza ujenzi wa Barabara ya Kampala-Jinja kwa PPP. Huku Tanzania Kafulila hakuna mradi hata mmoja anaoutekeleza

    Serikali na Kafulila wote wanapiga porojo tu, upuuzi wa maneno matupu kama huu ulikuwepo wakati wa Jakaya Kikwete pia, Serikali ya Rais Magufuli ilisema na mambo yalionekana yanafanyika tena kwa kasi. Samia na serikali yake yale yale, Watu wanapiga porojo tu basi, inakera sana.
  13. Nicolas J Clinton Gabone

    The fall of Dodoma

    THE FALL OF DODOMA Struggle for Economic Emancipation in Kilimanjaro Land....! 14th October 2024, Happy Nyerere Day With, Nicolas Jovin Clinton Gabone, Former National Chairman of NCCR-Mageuzi Youth League. While Dodoma's COVID-19 policies was dominated media coverage regarding his...
Back
Top Bottom