MAGEUZI YA MUONEKANO WA VIWANJA VYA UHURU NA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA CAF 2027
Imeandaliwa na, Nicolas Jovin Clinton Gabone
Serikali ya Tanzania na Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) wameshiriki kikamilifu katika ukarabati wa viwanja vikuu vya Uhuru na Benjamin Mkapa, wakiweka mkazo mkubwa...
KUSITISHWA KWA SAFARI ZA TRENI YA SGR DAR ES SALAAM–DODOMA
Na, Nicolas Jovin Clinton Gabone
Hivi karibuni, Shirika la Reli Tanzania TRC limethibitisha rasmi kusitishwa kwa muda usiyojulikana kwa safari za treni ya SGR kati ya Morogoro na Dodoma, hatua inayosababisha athari za moja kwa moja...
HOTUBA KWA TAIFA
KUHUSU MUSTAKABALI WA TANZANIA NA UCHAGUZI WA BUSARA YA KIHISTORIA
Hotuba kwa Taifa, vyombo vya Habari na wananchi ndani na nje ya Nchi.
Ndugu wananchi,
Watanzania wenzangu,
Na wote mnaolipenda taifa letu,
Leo nasimama mbele yenu kwa heshima kuu, kwa uzito wa moyo na kwa...
Kuvunja Muungano wetu, ni kitendo cha hovyo sana, tunatakiwa kulinda umoja wetu katika Muungano. Moja ya silaha kubwa hapa Afrika imekuwa fupa gumu ni kugawanyika tangu Uhuru na baada.
Nguvu ipo kwenye umoja, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni ishara ya umoja wa Afrika, changamoto ni...
CHAMA CHA MAPINDUZI KIJISAHIHISHE
Comrades, tunakabiliwa na sura mpya na yenye mvutano mkubwa katika siasa za Tanzania. Muda mrefu migogoro ya kisiasa ilikuwa kati ya CCM na vyama vya upinzani. Lakini kwa sasa, hali imebadilika, mvutano mkubwa ni kati ya CCM na wananchi wenyewe. Jambo hili...
TRANSITIONAL GOVERNANCE IN TANZANIA, FOLLOWING THE 2025 ELECTIONS
WRITTEN BY Nicolas Jovin Clinton Gabone
I do not claim the Authority to act, rather, these are my Personal views as a Tanzanian who is deeply dissatisfied with the arrogance, indifference and disregard shown by the Government...
Maoni ya mpango wa maendeleo wa miaka 15-25 wa kuifanya Dar es salaam kitovu cha biashara za kimataifa
Nicolas Jovin Clinton Gabone
Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Mageuzi (JUVIMA)- NCCR-Mageuzi
USICHOKE ISOME YOTE
Dar Es Salaam, mji mkuu wa kiuchumi wa Tanzania na kitovu cha...
RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN NA TANZANIA YA MSHIKAMANO
Na, Nicolas Jovin Clinton Gabone.
Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Mageuzi (JUVIMA)-NCCR-Mageuzi
Dar Es Salaam
4 May 2025.
Rais Samia Suluhu Hassan ni moja ya wanawake wachache wenye uwezo na nguvu ambao wamefanikiwa kuongoza...
Mkoa wa Pwani ugawanywe
Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na Mkuranga ziunde jiji la Dar Es Salaam.
Rufiji, Kilwa, Mafia na Kibiti ziunde Mkoa wa Pwani/Rufiji/Kilwa.
Mikoa miwili ya Tanzania bara yaani Morogoro na Tabora iwe mikoa ya Viwanda vikubwa/vizito zaidi na technologia ya majeshi yetu na...
Ni miaka zaidi ya 30 sasa imepita pale ambapo wanasiasa, wadau wa Demokrasia na wanaharakati walitaka kutokee kwa Mageuzi ya sheria za uchaguzi na Katiba ambayo yanahakisi mabadiliko ya kurejea kwa mfumo wa vyama vingi Nchini chini ya NCCR-Mageuzi, lengo la vuguvugu hili mpaka kinabadilishwa na...
Serikali na Kafulila wote wanapiga porojo tu, upuuzi wa maneno matupu kama huu ulikuwepo wakati wa Jakaya Kikwete pia, Serikali ya Rais Magufuli ilisema na mambo yalionekana yanafanyika tena kwa kasi.
Samia na serikali yake yale yale, Watu wanapiga porojo tu basi, inakera sana.
THE FALL OF DODOMA
Struggle for Economic Emancipation in Kilimanjaro Land....!
14th October 2024,
Happy Nyerere Day
With, Nicolas Jovin Clinton Gabone,
Former National Chairman of NCCR-Mageuzi Youth League.
While Dodoma's COVID-19 policies was dominated media coverage regarding his...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.