Mi naona upinzani uwepo na una faida kubwa hasa kwa maslahi ya taifa ,isingekuwa kelele za upinzani kukemea wizi unaofanywa na viongozi wa madarakani cjui nchi hiisaiz ibgekuwaje na wananchi tusingejua chichote. Anza na EPA,net group solution, kiwira, Richmond, escrow, nyumba za serikali...