Nimebandika sticker nyeusi ktk bonnet...nikaenda TRA kujaribu kubadili kwenye kadi from Green kuwa multi color nikaambiwa kuwa sticker ni temporary hawawezi badili kwenye kadi kwa kitu kinachotoka....nikaenda traffic wakaniambia wao wanajua sticker ni temporary so hawakamati siku hizi kwa ishu...
Najaribu kununua umeme kwa MPESA na katika menu inadai Enter Account number...Nimejaribu kuingiza meter number na hata account number lkn inaniletea message baadaye kuwa the bill number doesnt match the third party authentification. Naomba msaada wenu wadau
Rav 4 yangu ina rangi ya kijani kama hiyo jeep hapo na imekuwa registered kwa rangi ya kijani....sasa ninataka kubandika sticker nyeusi kwenye bonnet na kwenye roof ....Je itanibidi niende tena TRA kufanya changes au rangi ya sticker haitambuliki
Rav 4 J yangu tairi saizi ni 16....nataka kununua tairi jipya lenye rim nzuri lkn najiuliza kama naweza weka saizi 17 maana naona kama 16 ni ndogo na inaacha sehemu kubwa hadi shock up zinaonekana....Je inawezekana kuweka gari yenye tairi 17?
Gari yangu ya rav 4......jana nilikuwa naiona gari nzito nilipokuwa nakanyaga mafuta leo nimefungua kukagua Engine oil nimekuta ni chafu...nataka kujua bei ya Kubadilisha Engine oil estimation ili nikai drop service nikiwa najua kabisa bei.....Na pia nataka kujua ni kwa dharura kiasi gani...
Hivi ni nn kinachoweza kusababisha brake light moja ikaacha kuwaka especially kama gari haijatembea sana....na je reflector ni nn maana nilikamatwa na traffic juzi coz brake light yangu moja ya upande wa kushoto ilikuwa haiwaki akaniuliza pia kama nina reflector
Hata maandiko yanasema kuna watakaowanenea uongo kwa ajili yangu....pia kunyamaza haimaanishi wewe umekosa...inaweza ikawa na hekima kuruhusu ukweli ujiibue wenyewe....sitaki kuhukumu bila kuwa na uhakika...maana hakuna kitu kibaya kama kumhukumu mtu bila kujua...Hata Yesu alipokuwa mbele ya...
Ni mzigo kwasababu Ana power kubwa huku taasisi zinazotakiwa zimsaidie zina meno madogo....akitaka kutua huo mzigo asimamie Katiba ya warioba ipite kisha azipe meno taasisi kama Utumishi wa umma, Takukuru, CAG nk ziwe na uwezo wa kuwajibisha mafisi...yaani hapo nchi itaweza kwenda na yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.