Recent content by Nickson Mollel

  1. N

    JamiiForums Tanzania Nimekosa imani na CHADEMA kwa kuwa inakubali sera ya Serikali tatu yenye kuvunja muungano

    Hivi makolola ulikuwa hufahamu? hawa viongozi wa cdm wao wanataka kukiwa na serikali 3 wao wapate nafasi kwenye serikali moja, yaani kwa uwazi kabisa ni kwamba viongozi wote wa cdm wana uchu wa madaraka hilo lipo wazi kabisa!!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kuhusu mahakama ya kadhi

    bado haujatumia ile lugha ya wafadhili wenu!
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kuhusu mahakama ya kadhi

    mahakama ya kadhi no katiba ya Tz, mkiitaka waiteni wale wafadhili wenu wa kiarabu wanaowajengea misikiti wawajengee hizo mahakama na kuwahudumia hao wafanyakazi wake
  4. N

    JamiiForums Tanzania Sheikh Kundecha, afunga mjadala wa mahakama ya Kadhi, Aeleza kwa ufasaha mkubwa umuhimu wake

    hiyo mahakama kwani mnashindwa kujenga na kulipa wafanyakazi wake mpaka ihudumiwe na serikali!? mbona misikiti haijengwi na serikali? msitake kuipoteza amani ya nchi kwa sababu ya tamaa ya watu wachache!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nimeamini kumbe mh sitta alikuwa na agenda ya siri dhidi ya mh edward lwassa

    siku akiapishwa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tz ndio utaamini EL ni mtu makini
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na Lowassa asubuhi hii, jamaa yupo fiti

    muda ukifika mtafunga midomo, big up Edo.
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dada unapiga kelele kama unachinjwa

    inaonyesha we ni mpiga chabo mkubwa, na hapo ulipo suruali imekuinuka kwa mbele haswa!
  8. N

    JamiiForums Tanzania Prof. Baregu: Najuta kuendelea kuwa katika Tume ya Warioba

    mi nafikiri anachojuta prof. ni kwanini ile tume imekwisha mapema wakati ina fuba la kutosha!
  9. N

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi waamua kuongoza magari kinyume na trafiki ili gari lao lipite Ubungo mataa

    sasa mkuu na wewe si ungeingia uongoze!
Back
Top Bottom