Recent content by NicholausII

  1. N

    TCU VP?

    TCU wanapokea maombi baada ya matokeo kutoka Sasa unataka muanze kutuma kabla hamjajua majibu yenu?
  2. N

    Ni wapi alipo Gwajima?

    Post za watu matusi ya nn mkuu
  3. N

    Ni wapi alipo Gwajima?

    Tangu kusikika kwa ujumbe wa Sauti unaodhaniwa kuwa ni sauti ya kiongozi Wa kanisa la ufufuo na uzima askofu Gwajima kuna sintofahamu imetanda. Polisi wanamsaka askofu Huyo atoe Maelezo kuhusu sauti hiyo inayodaiwa kuwa ya uchochezi bila mafanikio! Kanisani kwake hayupo na nyumbani kwake...
  4. N

    Swali: Post za form five zitatoka lini?

    Mwezi Wa sita mwishoni kuweni wavumilivu
Back
Top Bottom