Recent content by Nicholaus Kilunga

  1. Nicholaus Kilunga

    Lindi: Askari afutwa kazi na Jeshi la Polisi kwa kumpiga risasi mwenzake wakiwa lindo

    Da!so sad,kijana mdogo kabisa wa juzi akiwa ni miongoni mwa wahitimu wa mafunzo ya JKT Bulombola Kigoma,sizan kma ana hata miaka 3 kazini,mwananchi mwenzangu wa hapa Muhambwe Kibondo kigma,..R.I.P
  2. Nicholaus Kilunga

    Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

    TZ tumechapwa 3 bila,magoli mawili kafunga Aisha na jingine kapombe
  3. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    umemjibu vema kuna watu wanafikiri hawahusiki kwenye baadhi ya mambo,kwamba ni wajibu wa wengine kuanzisha jambo na kulipgania hata kama linawahusu na wao
  4. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Siro anapoteza heshma yake kwa kasi sana,heshma aliyoijenga kwa muda mrefu
  5. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Ndo walivyowatawala wengi wa kiafrika ,then huwa wanajifanya wapo kwa ajiri ya wanyonge na huwa hawakosekani kwenye nyumba za ibada
  6. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Shughuri mbona zinaendelea mkuu,ama wewe haupo bongo?huoni BAWACHA na BAVICHA kila siku wanakamatwa,hii ujumbe wake ni mmoja,wasingekuwa wanakamatwa kama wangekuwa wamelala na wake /wamezao,wanapga kazi mkuu japo kuna mkono wa CCM kupitia dola
  7. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Ila pia kubadili mbinu haijawahi kuwa tatzo mkuu,unaweza hata kurudi nyuma ili kujipanga,siasa ni sayansi mkuu
  8. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Me nilikuelewa na nilimwelewa hata Lissu,japo Mh Lisu alikuja kustukia hila za mwendazake huku tayari alikuwa ashapata madhara.
  9. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Ulitaka waendeleze kipi ambacho hawakifanyi?mbona mengi tu yanaendelea kwa sasa ndani ya CDM?pengo la mwenyekiti lipo ila majukumu na ofisi yanaendelea kama kawaida mkuu
  10. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Harakati za kisiasa na za kudai mabadiliko uyatakayo huwezekana tu pindi mtu akiwa hai,na si vinginevyo,so ni muhimu kupambana na adui kwa akili zaidi ya nguvu
  11. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Inasikitisha kuona anayoyapitia mtu wa Mungu
  12. Nicholaus Kilunga

    Je, ugaidi anaotuhumiwa nao Mbowe ni ugaidi wa serikali?

    Je Ugaidi anaotuhumiwa nao mh Mbowe ni ugaidi wa serikali? Najaribu kutafakari kimyakimya kwa maandishi kuhusu mashataka aliyofunguliwa mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe. Nimejaribu kupitia rekodi mbalimbali za Mbowe tokea akiwa mwenyekiti wa vijana (BAVICHA) taifa, mpaka anakuwa...
Back
Top Bottom