Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 20.
Elimu yangu ni kidato cha NNE
Najua kuongea kingreza na kiswahili fasaha.
Natafuta kazi yoyote ile ..ufugaji wa kuku,kilimo cha bustani.kuuza duka,biashara za minada .kuuza cups na n.k
Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote
Nipo mbeya ndipo...
Nina shamba ekar 3 nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji.
Lipo karibu na mto mkubwa..
Nataka kulima mboga mboga nafuta mdhamini atakae nisaidia vifaa vya kilimo..
Npo mbeya mjini
Msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.