Recent content by Ngwizilikulu

  1. N

    JamiiForums Tanzania Max Melo kajitolea kutulinda, sisi tumeshindwa kumlinda, lakini vifungu hivi vinawapa nguvu polisi

    Ebu tusaidie na Article 18(1),(2) za katiba ya JMT ya mwaka 1977 na marekebisho yake... na tueleze unaelewa nn kuhusu supremacy of the constitution
  2. N

    JamiiForums Tanzania The National Institute of Transport (NIT) - Special Thread

    Hivi vyeti NIT wanaanza kutoa mwezi gani? Nacte ilizuia ukiritiba wa kukalisha watu mwaka mzima wakisubiri vyeti, vyuo vingi wanatoa vyeti immediately after graduation, sa hawa cjui wana utaratibu gani, CBE mwezi mmoja baada ya matokeo kutoka wanatoa Transcript wenzetu NIT ndo kwanza kabisa,kuna...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

    Mnapoandika ebu weka evidence, VAT inakatwa kampuni si wewe,tatizo wabongo ni kuzusha tu, sa kabla MTU hajajibu nunua vocha ya elfu 2 au 5 au mia 5 uweke uone je Salio lako litakatwa? hasa tigo, tatizo mkiongeza Salio ikakuandikia umeongeza shs kadhaa na VAT ni kadhaa hamuangalii ka salio...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ndalichako: Marufuku wasio na sifa kujiunga na masomo ya shahada kwa kupitia kozi za'foundation'

    Acha upotoshaji uliokithiri,elewa alichoongelea WAZIRI msiwe wapotoshaji tu,hakuna alipozuia diploma holders kujiunga na degree ye kazuia watu wenye diploma ambazo GPA zao haziruhusu kusoma foundation course na kudailiwa kusoma degree,jaribu kutofautisha hayo
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nataka kumpeleka mke wangu chuo lakini roho inasita

    kama ana akili za nyumbu mpeleke watamsaidia kumwondolea SUP,
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ni Mh. Lema tena na Mh. Mrisho Gambo hiyo kesho

    Ni jumamosi sio kesho
  7. N

    JamiiForums Tanzania MWANZA: Mkurugenzi wa Wilaya ya Misungwi afafanua kuhusu tuhuma za kumdhalilisha Mwalimu

    Wapi alipojibu tuhuma zake?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Rais ametumia Moral authority sio legal authority

    Nicodemus umenena vyema
Back
Top Bottom