Nilisoma shule ya Bweni , Mara nyingi tulikuwa tunajisomea usiku ,kuna siku tukitoka darasani usiku tukiwa na rafiki yangu tumefika mpaka maeneo ya Bweni tunapolala , ghafla jamaa naona kasimama namwambia vipi huingii ndani kimya haongei kitu , niliona anatimua mbio huku akisema leo utaona, na...