Hakika, na mengine mengi ikiwemo mambo mapya (ongezeko la watalii, ruzuku ya mafuta, madarasa ya kutosha bila kuchangisha), kuendeleaza miradi ikiwemo ya kimkakati (mradi wa Mwalimu Nyerere wa umeme, daraja la baharini salander, Busisi, barabara na madaraja, vivuko ,meli), kuimarisha uchumi...