Yanga kama timu inajitekenya na hapo hapo ili kujichekesha. Nasisitiza ni Yanga kama timu na si mashabiki. Uongozi punguzen kukurupuka na maandiko matamko kila kukicha kwa matarajio ya kuinfluence uamuzi wa bodi ya ligi ilhali uamuzi bado haujatolewa.
Ujinga huo, sheria gani na mwanasheria gani? Halafu wabongo sisi tabu sana inpotokea ajali nini maana ya bima!?!? Makimbiliaga kutibu kama nani na kivipi? Kila ikitokea ajali ya boda na ndiga assumptions ni kuwa ndiga ndio chombo cha moto kikubwa so kina makosa.
Njoo akate rufaaa. Halafu mume...
Muulize Nape et al kwa maana ndio muasisi wa CCK. Kumbuka makamo wa mwenyekiti wako taifa Steven Wasira aka Tyson alikuaga mwana NCCR kindaki ndaki.
Ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.