Recent content by Ng'wanamangilingili

  1. Ng'wanamangilingili

    PreGE2025 Kagera: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Hali ya tuhuma za rushwa na malalamiko mchakato ndani ya chama majimboni mbona hakuna humu.
  2. Ng'wanamangilingili

    Kitu gani kilichosababisha kuwepo na binadamu wenye rangi tofauti tofauti?

    siumize ntwe! ukifikiria rangi za mbwa ,ng'ombe paka na Mbuzi wenye rangi tofauti hutaumiza kichwa kuhusu ya binadamu.
  3. Ng'wanamangilingili

    A: Mpanzu vs B: Pacome

    Mkemia mkuu...... mtenda miujiza
  4. Ng'wanamangilingili

    Hongereni Simba, al Masry amesakwa

    Anamamisha simba
  5. Ng'wanamangilingili

    Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    Yanga kama timu inajitekenya na hapo hapo ili kujichekesha. Nasisitiza ni Yanga kama timu na si mashabiki. Uongozi punguzen kukurupuka na maandiko matamko kila kukicha kwa matarajio ya kuinfluence uamuzi wa bodi ya ligi ilhali uamuzi bado haujatolewa.
  6. Ng'wanamangilingili

    Mahakama yaamuru kupigwa mnada nyumba ya mjane ili kumfidia aliyeumia mguu kwa ajali ya bodaboda

    Ujinga huo, sheria gani na mwanasheria gani? Halafu wabongo sisi tabu sana inpotokea ajali nini maana ya bima!?!? Makimbiliaga kutibu kama nani na kivipi? Kila ikitokea ajali ya boda na ndiga assumptions ni kuwa ndiga ndio chombo cha moto kikubwa so kina makosa. Njoo akate rufaaa. Halafu mume...
  7. Ng'wanamangilingili

    Kumbe Mchungaji aliyefukuzwa uanachama wa CCM Kilimanjaro, alikuwa mgombea urais wa chama cha CCK

    Muulize Nape et al kwa maana ndio muasisi wa CCK. Kumbuka makamo wa mwenyekiti wako taifa Steven Wasira aka Tyson alikuaga mwana NCCR kindaki ndaki. Ni hayo tu.
Back
Top Bottom