Recent content by Ng'wanamalundi

  1. N

    Ruto Assures Kenyans of Fuel Stability Amid Middle East Crisis

    Aombe tu Iran isije ikaelekeza mabomu kwenye kambi za Marekani zilizoko Kenya.
  2. N

    Mawakili wa Lissu wamfungulia kesi Kamishna wa Magereza na Mkuu wa Gereza kuu la Ukonga

    Huyo 4th Respondent, ameunganishwa hapa kwa makosa au vipi?
  3. N

    Wakristo wanawaita wayahudu makafiri na wayahudu wanawaita wakristo ni makafiri

    Mkristu wa kweli hawezi kumuita mtu wa dini nyingine "kafiri". Hivyo ndivyo inavyokuwa katika dini ya Katoliki. Kanisa Katoliki hushughulika na kutangaza mema yake tu na siyo mabaya ya dini nyingine. Pamoja na kwamba kuna madhehebu yanayolivalia njuga kutangaza mabaya ya Kanisa Katoliki, lenyewe...
  4. N

    Kwanini Israel haiwapendi wakristo wakati wenyewe wanaipenda Israel?

    Umejibu vizuri sana. Wakristu tunamfuata Yesu, ambaye alizaliwa huko Israeli na kufanya kazi zake zote huko. Tutenganishe kumpenda Yesu na kuipenda nchi yake ya Israeli; sawa na mfano uliotoa wa kuipenda Serengeti na kuipenda Tanzania. Kwa Katoliki, Kanisa linamkubali Yesu lakini lilikuwa...
  5. N

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Swali zuri sana. Aliyekuwa amebet Senegal, tayari alikuwa amepewa hela yake. Sasa baada ya siku 58, sijui kama wataenda kumnyanganya huyo wampe aliyebet Morocco?
  6. N

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Ningekubaliana na uamuzi huo kama Senegal wasingerudi kabisa uwanjani, na Refa akapiga kipenga kuashiria mwisho wa mchezo. Hata kama Senegal wangekuwa wanaongoza, baada ya kipenga hicho wangestahili kupokonywa ushindi. Lakini ilivyotokea ni kwamba Senegal walitoka nje; baadaye wakajitafakari na...
  7. N

    Kwa nini Kifo Cha Ali Ralijani Kimetikisa Mitandao Kuliko hata Cha Ayatollah Ali Khomenei?

    Mbona Osama bin Laden naye alikuwa akiishi Marekani?
  8. N

    Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Kweli. Iran itaibuka mshindi sawasawa na Vietnam ilivyoibuka mshindi dhidi ya Marekani huyohuyo mwaka 1975.
  9. N

    Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Mkristu mwenzangu, elimu yako inakufanya usisadiki hilo la mtu kumezwa na samaki na kutapikwa baada ya siku tatu akiwa hai. Kwa nini elimu yako hiyo hiyo inakufanya uamini kwamba Yesu alikufa, akazikwa na siku ya tatu akafufuka? Vivyo hivyo na miujiza mingi kama kutembea juu ya maji; kuponywa...
  10. N

    Mwigulu: Muuguzi Tabora aliyemfanyia mgonjwa upasuaji nyumbani kwake afukuzwe kazi, afikishwe kwenye mkono wa sheria na kufutiwa leseni

    Si sahihi kumfukuza kazi na baadaye kumfikisha kwenye vyombo vya sheria kwa hatua zaidi. Anza na kumfikisha kwenye vyombo vya sheria, na akipatikana na hatia, sheria ichukue mkondo wake. Aidha, hatujaelezwa makandokando yaliyomfanya daktari afanye upasuaji huo hapo nyumbani (kwa mgonjwa?). Labda...
  11. N

    Mwigulu: Wanaokaa vikao kwamba huyu tumfanyeje, niwaambie hamnifanyi kitu. Utotoni nishahangaika na simba na chui na hawakunifanya kitu

    Umesahau Waziri Mkuu Sokoine alivyowavalia njuga mafisadi wakawa wao wenyewe wanatoa mali za ufisadi na kwenda kuzitupa mtaani kabla ya kukutwa nazo nyumbani mwake.
  12. N

    Mahakama Kuu: Kifungu kinachoruhusu kuficha mashahidi wa kesi ni batili na kinyume na Katiba

    Hata hiyo miezi mitatu ni mingi mno kwa kitu rahisi kama hiki kisichohitaji kufanya utafiti. Iliyopo ni kazi ya kiutendaji tu, kupitisha kunakohusika na kutangaza kwenye Gazeti la Serikali.
  13. N

    TANZIA Kardinali Pengo afariki Dunia akiwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)

    Raha ya milele umpe eeh Bwana. Na Mwanga wa Milele umwangazie. Apumzike kwa amani. Amina.
  14. N

    Je, Yesu ALIMDANGANYA yule mwizi msalabani? Au neno “leo” inamaanisha kitu kingine?

    Kuna Mungu mmoja tu mwenye nafsi tatu: Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Yesu ndiye nafsi ya pili ya Mungu. Alitungwa mwili kwenye tumbo la Bikira Maria, akazaliwa baada ya miezi tisa, sawa sawa na sisi binadamu wengine. Aliteswa, akasulubiwa, akafa, akazikwa. Yote hayo yalitokea...
Back
Top Bottom