Recent content by Nguza junior

  1. N

    Wazo la leo wakuu!!!

    Hata mtu awe mwehu vipi hawezi kuingia jeshini
  2. N

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    Mbunge wa Kondoa Kusini, Juma Nkamia (CCM) ataka JamiiForums IFUNGIWE NA SERIKALI |
  3. N

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    Ngoja nikipata nitaiweka msiwe na shaka
  4. N

    Uchumi wa nchi

    Yaaani hilo ndo tatizo kubwa hela inayokuwa allocated sekta tofauti kwaajili ya maendeleo unakuta zinaishia kwenye matumbo ya wachache tu sasa lini nchi itakua....
  5. N

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    Kuna sehemi nimesoma sijui waziri gani amesema jamiiforum inachochea malumbano
  6. N

    Sex ni bora kufanya kabla au baada ya kuoa

    Yaaaani miaka inavyozidi kwenda ndo ilivyo ukichelewa chelewa utakuta mwana si wako
  7. N

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    Mimi ninaona hawajui maana ya freedom of expression.... Na mitandao mingine wafunge basi
  8. N

    Sex ni bora kufanya kabla au baada ya kuoa

    Akisema haridhiki ujue hapo hana jipya zaidi ya kusema kakuchoka tu maana kama mmefanya na mmeishi pamoja ina maana mlikubaliana.....
  9. N

    Sex ni bora kufanya kabla au baada ya kuoa

    Siku hizi unaweza kutofanya kabla ukisubiri baadaye akala mwingine...
  10. N

    Sex ni bora kufanya kabla au baada ya kuoa

    Yaaaa siku hizi utamu kwanza ili kujua nani anafaa na nani hafai maana mwisho wa siku unaishi na mtu milele isije kujuta bure....
  11. N

    Ubora wa vyuo

    Nchi yetu inashindwa kuboresha vyuo vyote kuwa na kiwango sana.... Mfano vyuo kama kampala university ambacho hadi masters degree yake imefungwa
  12. N

    Uchumi wa nchi

    So u mean uchumi unakua sana ila wananchi wanazidi kudidimia havihusiani.... Wht about per capita income ya nchi
  13. N

    Sex ni bora kufanya kabla au baada ya kuoa

    Dunia ya siku hizi ni ujanja maana unaweza kubambikiziwa kitu sio chako
  14. N

    Sex ni bora kufanya kabla au baada ya kuoa

    Ila kwa majanga ya siku hizi usipotest mapema unaweza kuuziwa mbuzi kwenye gunia
  15. N

    Sex ni bora kufanya kabla au baada ya kuoa

    Hahaha kwenye ndoa itakuwaje msifanye tena
Back
Top Bottom