Recent content by nguvu za nyani

  1. N

    Tanzania kills chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears

    Mambo kama haya ni kichocheo cha mahusiano mabaya baina ya majirani. Hivyo vifaranga vingeweza kurejeshwa kuliko kuviharibu ndani ya nchi yetu Dr
  2. N

    Ni hatari kwa ustawi wa Nchi yetu kama kuna watu bado wanaendelea na upigaji Ndalichako hebu lianagalie hili

    we umenda kusoma au kuchimba majungu? kwani hakuna mikutano ukatoa dukuduku zako?
  3. N

    Waziri Mkuchika: Hatutapandisha mishahara (ya watumishi wa umma), tunafanya uhakiki wa umri

    kwani umri ndiyo unaofanya kazi? Mtu anapostaafu wakaguzi wanaingia kazini kuhakiki umri wa mstaafu na iwapo kuna udanganyifu pensheni yake hukatwa
  4. N

    Mbunge wa TEMEKE, Abdallah Mtolea (CUF) alala Korokoroni, Bima ya gari yamponza

    Hakuna sababu ya kumtia ndani badala yake wangehuzunika na kumsitikia madhara atakayopata endapo atapata ajali Kwa kukosa BIMA ambayo ni tahadhari kwake sio polisi
  5. N

    Maajabu: Mwigulu adai asasi itakayotetea watoto kurudi kusoma baada ya kujifungua zitafutwa zote

    Hivi huyu naye analipwa mshahara Kwa kodi ya watanzania waliodhulumiwa mabinti zao Kwa kupewa mimba wakiwa shuleni?
  6. N

    Wazuri Mkuu: Serikali bado inawatafuta wauaji halisi wa Kibiti

    Hapa yanatakiwa maamuzi magumu kama ilivyofanyika Tanga hawa jamaa wakiachwa Kwa zaidi ya mwaka wajenga kautamaduni na ukweli utawekwa.Mungu atuepushe na hili B haramu
  7. N

    Wauaji Kibiti watoa Ujumbe kuendeleza mapambano na wadhulumaji, wasema watu waendelee kutoa taarifa

    Naomba Mungu Jambo hili lisiigwe sehemu nyingine nchini Kwa sababu ni kweli Traffic wanaumiza wananchi wenye vyombo vya usafiri sio siri
  8. N

    Serikali ni bora mfukuze watumishi wote kisha muanze upya kuajiri wale mnao wataka

    Mtawaonea Tu Kwa mara nyingi fedha hazitoki sawasawa na zinavyoombwa ktk budget na hivyo kushindwa kutekeleza majukumu yao.Mfano mzuri ni kushindwa kwwa OPRAS
  9. N

    Spika awauliza mawaziri kwa nini wanapeleka miradi kwa wapinzani wakati hawaungi mkono bajeti

    Inawezekana Chadema walikuwa sahihi na Sera yao ya utawala wa majimbo ili sehemu kubwa ya raslimali ndani ya jumbo zitumike Kwa maendeleo ya jumbo Kwa sasa miradi ya maendeleo inategemea maamuzi ya kisiasa na watu wachache tu
  10. N

    Rais Magufuli kama Florentino Perez, Usajili wa Mghwira na Mkumbo waizika rasmi ACT Wazalendo

    Kama si vibaya kukataa uteuzi, ningemshauri mama asikubali kwani haendani na mazingira ya kisiasa ya sasa nchini
  11. N

    CCM 2020 kuna uwezekano mkubwa wa kushindwa kuliko 2015! Hakuna dalili za ushindi kabisa.

    We mtu wa ajabu watu wananyimwa uhuru wa mikutano nchi nzima halafu unauliza wako wapi? TUwashukuru watanzania na hasa vyama vinavyonyima uhuru wa kujeleza kwamba hawachukui maamuzi magumu ingekuwa nchi zingine,wote mngeisoma namba
  12. N

    Rais wetu anakera, iweje uwalipe uliowaita majambazi fedha zetu za kodi?

    Wezi ni wale wanolipwa mishahara bila kutimiza muda wao wa kazi.Hawa walifanyakazi na wengi wao wamewahi kupandishwa madaraja kwa kazi nzuri.Kama ni vyeti vizivyo halali wangeweza kupewa adhabu mbadala isiyolingana na adhabu ya kutofanya kazi kabisa kwa sababu tumewaona wenye vyeti vizuri lakini...
  13. N

    Vyeti feki; serikali imekurupuka bila ya utafiti

    Hapa haitakiwi akili bali Hekima.Kwa mfano serkali ingeangalia wahusika wako katika umri gani pia wako katika ngazi gani za vyeo vyao.Halafu maamuzi km haya yangefanywa: (1)kuwarudisha nyuma vyeo wote ambao umri wao hauzidi miaka 15 kazini na kufanya mitihani maalum ya necta (2)waliozidi miaka...
Back
Top Bottom