Ni hatari kwa ustawi wa Nchi yetu kama kuna watu bado wanaendelea na upigaji Ndalichako hebu lianagalie hili

Bima ya afya ya jamii (CHF) iliyoboreshwa ni Sh.30,000 kwa kaya ya watu sita; sawa na wanafunzi sita. Hii yako ya Sh.10,000 ni ya zamani.

Hii habari imekaa kiuchochezi. Soma kijana acha siasa.
Kaya ni watu 6 kwa 30000 kila mmoja hapa mwanachuo analipa 10000.jumla 60000. Kwahiyo chuo kinatuibia 30000.Au nawe ni mnufaika? maaanake hilo Omo Si mchezo?
 
Pambana na hali yako, no body cares!! Uko pale ili ubadilishwe siyo ubadili mifumo

Nalifahamu hilo ndio maaana niko nasoma wewe endelea kulala.Mfumo siku zote humbadirisha mtu lakini sio wizi wa wazi, Usijenge taifa la watu wezi, Wizi wenu ndio umetufikisha hapa
 
Fanya kilichokupeleka Chuoni Bw.mdogo, wewe ni mwalimu ujae au ni mwandishi wa habari za uchunguzi? Inawezekana hiyo Div. 3 iliyokupeleka teachers college uliipata huko Sekondari kwasababu ya kukaa kuchokonoa visivyokuhusu! Jiulize kwanini leo hauko UDOM au UDSM na badala yake uko Korogwe TC....... somaaaaaa acha majungu na kimbelembele!
 
Usinichukulie poa wewe mkata nyasi muulize jamaaa mmoja anaitwa Nkenwa aliekuepo madaba, Ananipata uzuri sana wakubwa wakiongea point wewe kanye.

Umesema ni mwanachuo wa mwaka wa kwanza eh?
Nenda taratibu kijana, usidhani kila kitu kitaenda kulingana na ndoto zako za mchana.
Jitahidi kuelimika.
 
HAWA MNAOPONDA HAPA NINA WASIWASI NI SEHEMU YA STAFF YA HICHO CHUO, KWA NIN UPONDE KANA KWAMBA YALIYOSEMWA HAPO NI UONGO TUPU?
 
Poleni sana, chuo kibovu na kozi unayochukua haina ajira, kwahiyo unapoteza mda tu
 
kabla ya kuweka hii taarifa hapa je umewahi kusema na uongozi wa chuo?
je umepeleka taarifa hata level za chini/wilayani/mkoani?
je hakuna serikali ya wanafunzi hapo chuoni?
unasema 'msubilie kipindupindu kitoke mje mtoe matamko',je wew hata sasa umetoa tamko gani hapo tu ulipo?
wanajamvi habari za asubui.In short nimechaguliwa chuo cha Ualimu Korogwe.Hivyo kieipori na kujionea madudu yanayofanyika ni Mengi mno Mpaka kero nasijajua kwanini serikali inalifumbia macho swala hili.Changamoto zenyewe ni hizi hapa .
1.Kukosekana kwa viti vya mwaka kwanza na hivyo kusababisha wanafunzi kusimama wakati wakusoma.

2.Kukosekana na kwa viti kwenye bwalo la kulia chakula hivyo kusababisha wanachuo kula chakula.Ikizingatiwa sasa hv mvua zinanyesha jiandaeni kwa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu nazani haviepukiki.Msubilie kipindu pindu kitokeee mje mtoe matamko.

4.kutozwa pesa ya chai kila mwanafunzi kiasi cha sh 40000 kwa ajili ya waalim na staf kwa ujumla halafu nilazima kulipa usipolipa unarudishwa nyumbani .fedha hiyo imepewa jina maarufu kama posho ya vibarua
5.Halafu wanachuo leo tumeambiwa kulima mazao ( Mahindi) na mkufunzi wa miradi.

5.Kuna jamaaa mmoja anajiita mwadili yeye ndio amekuwa source ya matatizo hataki wanachuo waulize maswali amekuwa anatoa vitisho vya kufa mtu.

6.Tunaomba tuletewe mkuu wa chuo kwani aliopo inawezekana hakawa haendani n kasi ya mhe: Rais ya hapa kazi tuuu. yeye amekaa kiupigaji tuu.naikumbukwe aliopo ni makamu baada ya mkuu wa chuo kufariki mwaka jana.

7.Mkuu wa chuo akishirikiana na viongozi wa chuo ambao sio waaminifu ameanzisha mradi wa kwake binafsi kwenye maeneo ya chuo .Mradi huo ni DSTV Ambayo inatozwa na sh 300 kwa kila mechi kwa mwanafunzi na ikumbukwe pia kila mwanafunzi analipa sh 10000 kwa michezo lakin bado akifika atatakiwa kulipa sh 300 kuona hotuba za rais.
8.Chuo hakina hospitali lakini kuna hela kwa ajili ya huduma ya kwanza yaaani sh 10000. ila kuna kajumba kadogo ukienda unaumwa kazi ya nurse ni kukubashiria unaumwa nini na kisha kukupa dawa za ubashiri wake.
9Pia kuna bima ya afya ambayo kila mwanafunzi amelipia sh 10000.Kwa uzoefu wangu hizi bima huwa zinajumisha watu wa5 kwa sh 10000. kwa tafsiri ya kwamba kila mwanafunzi atachajiwa sh 2000. Lakini huyu makamu yeye ameamua kutoza 10000.kwa heshima na taaadhima tunaomba serikali iingilie kati kukomesha wizi huu.
10.Ifahamike kwamba hakuna mwanafunzi ambae ataishi hapa chuo milele lakini usalama maradhi chakula ni vitu vya muhimi kuvizungumzia.Ugali unaopikwa ni uji hauendani na hadhi ya chuo. huwezi kula kwa mkono lazima ulie kijiko sasa sijajua tatizo nini?Mkufunzi wa chakula hataki kuulizwa na amekuwa akishirikiana na makamu mkuu kuiba na kutaifisha vitu vya chuo.
 
Masomo kwa ujumla yakoje?

Ufundishaji? , uwepo wa wakufunzi?, maabara na maktaba?

Kuna migahawa inayouza chakula ukiacha chakula cha shule?

Kwenye vikao ni yepi majibu ya uongozi juu ya madai uliyoyatoa?

Ruzuku ya chuo ya matumizi mengine ikoje? na nyie mko wangapi?

Kwa kuwa utakuwa mwaalim, tafadhali zingatia kanununi za kuanza sentensi, huwezi kuanza sentensi kwa herufi ndogo, huwezi kuianza kwa maneno ya halafu au neno pia.

Masomo mema, pambana na hali yako vilivyo ndugu yangu.
 
kama umeanza majungu hata chuo ukamaliza, ukianza kazi si utawaroga kabisa wafanyakazi wenzako? zingatia ulicho kifuata hayo mwingine yanakuhusu. wasukuma bwana!
 
wanajamvi habari za asubui.In short nimechaguliwa chuo cha Ualimu Korogwe.Hivyo kieipori na kujionea madudu yanayofanyika ni Mengi mno Mpaka kero nasijajua kwanini serikali inalifumbia macho swala hili.Changamoto zenyewe ni hizi hapa .
1.Kukosekana kwa viti vya mwaka kwanza na hivyo kusababisha wanafunzi kusimama wakati wakusoma.

2.Kukosekana na kwa viti kwenye bwalo la kulia chakula hivyo kusababisha wanachuo kula chakula.Ikizingatiwa sasa hv mvua zinanyesha jiandaeni kwa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu nazani haviepukiki.Msubilie kipindu pindu kitokeee mje mtoe matamko.

4.kutozwa pesa ya chai kila mwanafunzi kiasi cha sh 40000 kwa ajili ya waalim na staf kwa ujumla halafu nilazima kulipa usipolipa unarudishwa nyumbani .fedha hiyo imepewa jina maarufu kama posho ya vibarua
5.Halafu wanachuo leo tumeambiwa kulima mazao ( Mahindi) na mkufunzi wa miradi.

5.Kuna jamaaa mmoja anajiita mwadili yeye ndio amekuwa source ya matatizo hataki wanachuo waulize maswali amekuwa anatoa vitisho vya kufa mtu.

6.Tunaomba tuletewe mkuu wa chuo kwani aliopo inawezekana hakawa haendani n kasi ya mhe: Rais ya hapa kazi tuuu. yeye amekaa kiupigaji tuu.naikumbukwe aliopo ni makamu baada ya mkuu wa chuo kufariki mwaka jana.

7.Mkuu wa chuo akishirikiana na viongozi wa chuo ambao sio waaminifu ameanzisha mradi wa kwake binafsi kwenye maeneo ya chuo .Mradi huo ni DSTV Ambayo inatozwa na sh 300 kwa kila mechi kwa mwanafunzi na ikumbukwe pia kila mwanafunzi analipa sh 10000 kwa michezo lakin bado akifika atatakiwa kulipa sh 300 kuona hotuba za rais.
8.Chuo hakina hospitali lakini kuna hela kwa ajili ya huduma ya kwanza yaaani sh 10000. ila kuna kajumba kadogo ukienda unaumwa kazi ya nurse ni kukubashiria unaumwa nini na kisha kukupa dawa za ubashiri wake.
9Pia kuna bima ya afya ambayo kila mwanafunzi amelipia sh 10000.Kwa uzoefu wangu hizi bima huwa zinajumisha watu wa5 kwa sh 10000. kwa tafsiri ya kwamba kila mwanafunzi atachajiwa sh 2000. Lakini huyu makamu yeye ameamua kutoza 10000.kwa heshima na taaadhima tunaomba serikali iingilie kati kukomesha wizi huu.
10.Ifahamike kwamba hakuna mwanafunzi ambae ataishi hapa chuo milele lakini usalama maradhi chakula ni vitu vya muhimi kuvizungumzia.Ugali unaopikwa ni uji hauendani na hadhi ya chuo. huwezi kula kwa mkono lazima ulie kijiko sasa sijajua tatizo nini?Mkufunzi wa chakula hataki kuulizwa na amekuwa akishirikiana na makamu mkuu kuiba na kutaifisha vitu vya chuo.
KWA HIYO HAMTAKI MAFUNZO YA KILIMO KWA VITENDO PAMOJA NA BUSTANI ZA MBOMBOGA NA MTUNDA? MTAWAFUNDISHA NINI CHA KUJITEGEMEA?
 
wanajamvi habari za asubui.In short nimechaguliwa chuo cha Ualimu Korogwe.Hivyo kieipori na kujionea madudu yanayofanyika ni Mengi mno Mpaka kero nasijajua kwanini serikali inalifumbia macho swala hili.Changamoto zenyewe ni hizi hapa .
1.Kukosekana kwa viti vya mwaka kwanza na hivyo kusababisha wanafunzi kusimama wakati wakusoma.

2.Kukosekana na kwa viti kwenye bwalo la kulia chakula hivyo kusababisha wanachuo kula chakula.Ikizingatiwa sasa hv mvua zinanyesha jiandaeni kwa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu nazani haviepukiki.Msubilie kipindu pindu kitokeee mje mtoe matamko.

4.kutozwa pesa ya chai kila mwanafunzi kiasi cha sh 40000 kwa ajili ya waalim na staf kwa ujumla halafu nilazima kulipa usipolipa unarudishwa nyumbani .fedha hiyo imepewa jina maarufu kama posho ya vibarua
5.Halafu wanachuo leo tumeambiwa kulima mazao ( Mahindi) na mkufunzi wa miradi.

5.Kuna jamaaa mmoja anajiita mwadili yeye ndio amekuwa source ya matatizo hataki wanachuo waulize maswali amekuwa anatoa vitisho vya kufa mtu.

6.Tunaomba tuletewe mkuu wa chuo kwani aliopo inawezekana hakawa haendani n kasi ya mhe: Rais ya hapa kazi tuuu. yeye amekaa kiupigaji tuu.naikumbukwe aliopo ni makamu baada ya mkuu wa chuo kufariki mwaka jana.

7.Mkuu wa chuo akishirikiana na viongozi wa chuo ambao sio waaminifu ameanzisha mradi wa kwake binafsi kwenye maeneo ya chuo .Mradi huo ni DSTV Ambayo inatozwa na sh 300 kwa kila mechi kwa mwanafunzi na ikumbukwe pia kila mwanafunzi analipa sh 10000 kwa michezo lakin bado akifika atatakiwa kulipa sh 300 kuona hotuba za rais.
8.Chuo hakina hospitali lakini kuna hela kwa ajili ya huduma ya kwanza yaaani sh 10000. ila kuna kajumba kadogo ukienda unaumwa kazi ya nurse ni kukubashiria unaumwa nini na kisha kukupa dawa za ubashiri wake.
9Pia kuna bima ya afya ambayo kila mwanafunzi amelipia sh 10000.Kwa uzoefu wangu hizi bima huwa zinajumisha watu wa5 kwa sh 10000. kwa tafsiri ya kwamba kila mwanafunzi atachajiwa sh 2000. Lakini huyu makamu yeye ameamua kutoza 10000.kwa heshima na taaadhima tunaomba serikali iingilie kati kukomesha wizi huu.
10.Ifahamike kwamba hakuna mwanafunzi ambae ataishi hapa chuo milele lakini usalama maradhi chakula ni vitu vya muhimi kuvizungumzia.Ugali unaopikwa ni uji hauendani na hadhi ya chuo. huwezi kula kwa mkono lazima ulie kijiko sasa sijajua tatizo nini?Mkufunzi wa chakula hataki kuulizwa na amekuwa akishirikiana na makamu mkuu kuiba na kutaifisha vitu vya chuo.
 
Back
Top Bottom